Suala la Yanga kutotaka kucheza tarehe 3 julai ni dharau kwa TFF, serikali na wapenzi wa soka

Suala la Yanga kutotaka kucheza tarehe 3 julai ni dharau kwa TFF, serikali na wapenzi wa soka

Yanga siyo wajinga, wanawatu Serikalini na huko tifuatifua, kila kinachofanyika kinafahamika vizuri......muda utaongea na huo upuuzi utafahamika tu
 
Mkishajua sababu itawasadia nini yanga?
Fuateni sheria na taratibu; mpaka serikali na TFF waseme kwanini walihairisha mechi na kama kuna mtu alikosea aliwajibishwa lini? Acheni kupibdisha sheria kisa Simba na Yanga wanatakiwa kucheza.
Acheni ujinga.
 
Nimeona msemaji wa Yanga anayejulikana kama Bumbuli,akitaja mechi zilizobaki katika premier kuwa ni nne tu huku alisema wao yanga hawatambui mechi ya tarehe 3...
Yanga inabidi washushwe madaraja tu ili washike adabu, kukosa ubingwa miaka 3 kunawaumiza sana.
 
Nimeona msemaji wa Yanga anayejulikana kama Bumbuli,akitaja mechi zilizobaki katika premier kuwa ni nne tu huku alisema wao yanga hawatambui mechi ya tarehe 3...
Tff wenyewe uswahili na ubabaishaji kwa sana
 
Nimeona msemaji wa Yanga anayejulikana kama Bumbuli,akitaja mechi zilizobaki katika premier kuwa ni nne tu huku alisema wao yanga hawatambui mechi ya tarehe 3...
Hivi hiyo July 3 ligi itakuwa bado inaendelea tu?
 
Kama Yanga wanadai hiyo mechi ilisha pita vipi kuhusu point 3 za mechi wanaamini wanazo?
Au wata panda CAS na FIFA kuzidai?

Huko juu hawafanyi mambo kiswahiliswahili.

Unapogomea jambo ni kweli unamfanya alie kukosea kutafakari na hata kujirekebisha lakini adhabu stahili utaipata tu.
 
Yanga timu kubwa hamuwezi kumpangia kucheza mechi mnavyotaka...Yanga washikilie msimamo wao huo kuwatia adabu TFF na hao wanaojiita serikali kwamba siku nyingine mambo kama haya ya aibu na kufadhaisha hayatakiwi kujirudia kwenye soka letu.
 
Hii ni kujaribu kuongoza uasi dhidi ya serikali kwa vile unamiliki kundi kubwa la watu...
𝚓𝚘𝚖𝚋𝚊 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚊 𝚜𝚒𝚘 𝚠𝚊𝚓𝚒𝚗𝚐𝚊! 𝚔𝚠𝚊 𝚑𝚊𝚕𝚒 𝚒𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚓𝚞𝚊 𝚟𝚢𝚎𝚖𝚊 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚊𝚐𝚑𝚊𝚒𝚕𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚖𝚎𝚌𝚑𝚒 𝚗𝚊 𝚗𝚍𝚒𝚘 𝚖𝚊𝚊𝚗𝚊 𝚠𝚊𝚖𝚎𝚔𝚘𝚖𝚊𝚊 𝚗𝚊 𝚗𝚒𝚗𝚊 𝚑𝚊𝚔𝚒𝚔𝚊 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚒𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚢𝚊𝚔𝚒𝚓𝚒𝚗𝚐𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊.
 
Mimi ninavyojua kwa kanuni za mpira Yanga inabidi wapewe points 3 na magoli 3 kwakua timu pinzani haikutokea uwanjani.

Hivyo Yanga wapo sahihi.
Timu ipewe hizo alama tatu unadhani ni rahisi kama unavyofikiri..!

Timu kuwepo uwanjani, kukaguliwa na pamoja na kufanyika utambulisho, mwamuzi kuita timu katikati ya dimba na kama timu nyingine bado atasubiri dakika 15 baada ya hapo atamaliza mchezo endapo haikutokea.

Yalifanyika haya?
 
Unajua kwanini rais wa fft alikuwa mbogo hivi karibuni na kuonyesha kuwa nafasi alikuwa nayo haiwezi. Shirikisho limejaa utelembwe manunu fc symphasizer. Maamuzi yao ni kuumiza timu fulani...
Umeandika utopolo mwingi sana,hivi huko Utopolo kuna mwenye akili timamu hata mmoja?
 
Back
Top Bottom