Suala la Yanga kutotaka kucheza tarehe 3 julai ni dharau kwa TFF, serikali na wapenzi wa soka

Timu ipewe hizo alama tatu unadhani ni rahisi kama unavyofikiri....
Mimi sijui kama yalifanyika.

Ila nilisoma sehemu kwamba Yanga walienda uwanjani wakakaa kwa nusu saa wakaondoka. Timu pinzani haikwenda kutokana na tangazo, na hilo tangazo halikufuata kanuni.

Hivyo tangazo ni batili. Kama tangazo ni batili Yanga walikua sahihi kuhudhuria muda wa mechi uliopangwa.
 
Hili suala lina siasa 99.99%. TFF na bodi ya ligi walionyesha udhaifu mkubwa sana hapa.
Uzi unazungumzia mechi ya tarehe 3 Julai, 2021, sio wa mechi iliyofutwa, vinginevyo tutakuwa hatusongi mbele
 
Fuateni sheria na taratibu; mpaka serikali na TFF waseme kwanini walihairisha mechi na kama kuna mtu alikosea aliwajibishwa lini? Acheni kupibdisha sheria kisa Simba na Yanga wanatakiwa kucheza.
Taratibu ni kwamba bodi ya ligi inapanga ratiba, timu inalazimika kucheza mpira kulingana na ratiba
 
Kwani mpira wa miguu ili ukamilike ni mambo gani ya kuzingatia? Je kamisaa wa mchezo walikuwepo? Referii je, hawa Yanga nani aliwakagua tayari kwa kuanza mechi katika hizo dk za 30? Wanaweza wakawa na hoja ila kwa stail hii wataanguka mapema.
 
Tulia tukutane Azam cup
 
Kwani mpira wa miguu ili ukamilike ni mambo gani ya kuzingatia? Je kamisaa wa mchezo walikuwepo? Referii je, hawa Yanga nani aliwakagua tayari kwa kuanza mechi katika hizo dk za 30? Wanaweza wakawa na hoja ila kwa stail hii wataanguka mapema.
Azam cup wajeee
 
Kwani mpira wa miguu ili ukamilike ni mambo gani ya kuzingatia? Je kamisaa wa mchezo walikuwepo? Referii je, hawa Yanga nani aliwakagua tayari kwa kuanza mechi katika hizo dk za 30? Wanaweza wakawa na hoja ila kwa stail hii wataanguka mapema.
Yaani kama hivyo maana yake makamisaa wanatakiwa wawajibishwe kwa utovu wa nidhamu kwa kutoripoti eneo lao la kazi
 
Ahahahaha waswahili bhana kama hamuelewi vile,🤣🤣🤣🤣 hamjui kuwa ndani ya timu kuna wachezaji 4 wanataka kuondoka na ndo first eleven kipindi hicho wanawambia wasipowasikiliza wasubiri gemu zijazo?? Haya yote viongozi hawaelewi nini wafanye ili klabu itulie ndo juzi wakaibuka na CAS hawakujua kuwa siku hizi mambo yako mikononi tu,ikawa haibu kwa sasa wanacheza na akili za mashabiki ili kupunguza maswali ni kwamba july 3 gemu inapigwa kama kawa haya yote wanapozapoza maumivu na mizigo ya stress iliyoko huko ndani. Mark my words
 
Kuna jambo Serikali litafanya halafu lawama zitakuwa kwa TFF na Simba SC.
Serikali ni ya watu, inapaswa kutenda haki kwa masilahi ya watu. Tatizo ninalo liona watendaji karibu wote wanafanya mambo kwa ushabiki wa timu zao
 
Wasipoleta timu uwanjani wanashushwa hadi daraja la pili. Huyu kilaza Bumbuli atawagharimu sana uto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…