Hahahaaaa sawa mkuu nimekusomaKijana anayeendesha ist na kijana anayeendesha Forester..ni watu wawili tofauti kimtazamo..
Wa subaru ana mitazamo ya starehe...wa ist utakuta ana mitazqmo ya maisha ya miaka hamsini ijayo..
Niamini mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hiyo RaV 4 ni miss Tz, ukitaka kuachana nayo nijulishe. mie sio suby fan, ila nazielewa kinyamaNashawishika kuachana na rav4 nichukue forester 2011
Vijana wa chuga wqnazipenda....eti za kuopolea watoto wazuri..??
Halafu vijana wengi wanaoendesha hizi..akili zao huwa haziwazi mipango ya maisha...
Akili inatekwa na kile kibuyu kinachokoroma pale nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio mpnz sana wa subaru lkn nikihamia upande huo nitapendelea subaru imperezza wrx STI 2004 ingawa Mazda rx8 yangu ilizitesa sana subaru wrx,hizi sti ndo zilinisumbua kiaina.Ukikuta mtu hazielewei gari hizi (subaru), ni mzee yaani 45+++years or wivu + ushamba.
Ni gari ambalo stable + durable.
Mungu nisaidie nimnase huyu mnyama niachane na TYT.
Mkuu hiyo Mazda rx8 naielewa Sana Ila TATIZO ni Ile kubeba mtu mmoja Tu Sisi wenye familia ya watu wengi ni mtihaniSio mpnz sana wa subaru lkn nikihamia upande huo nitapendelea subaru imperezza wrx STI 2004 ingawa Mazda rx8 yangu ilizitesa sana subaru wrx,hizi sti ndo zilinisumbua kiaina.
[emoji23] [emoji23]Najivunia sana kumiliki Subaru Legacy B4 Twin Turbo RSK Class, najivunia mno...nikiwa mitaani napenda mlio wake kama Simba nyikani na nkiwa road highway trip ya mkoa kwa mkoa siku nimechafukwa nyongo ninavyoikurupua hatari japo mara nyingi mwendo wangu huwa ni wa wastani. Huwa naridhika nikipitwa na V8 tu lakini si aina nyingine yeyote ya Toyota.
Kwa kifupi Mazda wanajihidi sana ila tatizo ni huku kwetu...M
Mkuu hiyo Mazda rx8 naielewa Sana Ila TATIZO ni Ile kubeba mtu mmoja Tu Sisi wenye familia ya watu wengi ni mtihani
Chuma kiko fresh sana especially ukijulia namna ya ku-deal na rotary engine utaenjoy.M
Mkuu hiyo Mazda rx8 naielewa Sana Ila TATIZO ni Ile kubeba mtu mmoja Tu Sisi wenye familia ya watu wengi ni mtihani
Mimi napenda hizi Subaru forestor za kuanzia mwaka 2008, japo nakatishwa tamaa kua hazifaa kwa ladies kweli?? Nipeni moyo maana naipenda sana ....Mungu akipenda December naiagiza.
Ulipotea The Boss....welcome back!weka picha tuione
Bro.. hata zingekuwa zinabeba watu 20.. still RX8 ni GARI MBOVU na hazifai kbisa... kwa matumizi yetu hapa TZ... mafundi wachche sana wa rottery engines,spare parts.. kitu ambacho kinaumiza kichwa #KIPUSA...M
Mkuu hiyo Mazda rx8 naielewa Sana Ila TATIZO ni Ile kubeba mtu mmoja Tu Sisi wenye familia ya watu wengi ni mtihani
Mimi nimeitumia gari hio kwa miaka kama 3 hivi na haikunipa changamoto yoyote kubwa ila cha msingi ilikua ni kufuata tu masharti yake.Bro.. hata zingekuwa zinabeba watu 20.. still RX8 ni GARI MBOVU na hazifai kbisa... kwa matumizi yetu hapa TZ... mafundi wachche sana wa rottery engines,spare parts.. kitu ambacho kinaumiza kichwa #KIPUSA...
pia hata ukitaka kufanya Engine swap maybe utoe rottary utie things like 1jz or 2jz.. or even 3sgte.. au uendeee far back kwa ej20.. huwezi.. kutokana na setup nzima ya ile gari otherwise upasuke zaidi.... mfukoni..
rx8 nyingi utazikuta gereji
Vp chuma mwenendo wake hadi sasa.Ndinga imewasili since June, its almost more than a month now and sure I am very happy with the car