Golf hata iwe GTI siitamani kabisaa gari ina sura mbaya kishenzi yaani kishenzi,bora subaru sti wrx mara elfu aisee.Kuna mjinga mmoja nipo safarini naenda mbeya yupo na crown tena km mpya maana Niliona number ni t...DL..., tumefika Iyovi akataka kushindana na mm Niko na Volkswagen golf....
Sikumtangulia nilimuacha amalize speed zote.....hata km 20 hakufika akasikia engine inapiga kelele..ikawa Ndio mwisho wa gari yake...
Na Hapo mm naenda nae mm nimefika 190 wakati uwezo wa gari yangu ni 300km/h
Toyota ni uchafu, Hakuna gari mle
Bei yake unaijua lkn mkuu?kuna toyota gt86 bomba kabisa hiyo gari
Nimetumia corola,niahamia kwenye poa. Kama umenimaliza gari zote nilizokuwa nataka,umenizimisha. Sasa uhitaji wangu ilikuwa Rav 4 old model au Harier new lakini four cylinder. Sasa kwa ushauri wako katika hizo gari zingine,iliyo juu like Harier ni ipi nichukue?Hahaha mkuu mbona yangu ni speed 300km/h na nipo Salama, the highest speed Nimewahi kuendesha ni 270km/h ingawa Nina mpango nimalize zote 300 siku moja.
300 ni speed ya ndege wakati Wa ku-take off!
Nimetumia corola,niahamia kwenye poa. Kama umenimaliza gari zote nilizokuwa nataka,umenizimisha. Sasa uhitaji wangu ilikuwa Rav 4 old model au Harier new lakini four cylinder. Sasa kwa ushauri wako katika hizo gari zingine,iliyo juu like Harier ni ipi nichukue?Ingia kwny mtandao km Be Forward then tafuta Volkswagen golf touran, Bei zake za kawaida sana, hata ushuru ni tofauti na gari za Japan, ingawa hizi nazo zinatoka Japan.
Hutajutia kununua hii gari mkuu.
Pia spare zake siku hizi zipo kila mahali.
Fuel consumption ni kawaida sana maana nyingi ni cc 1800-2000!