Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUko ni baadae sana...kwa hela ya kawaida ntaanza na run xNakushauri Ishi kweny Forester na Discovery utanishukuru
Runx Unazipendea nn mkuu ,unajua mm naziona ila siziamini kabisa😅?HUko ni baadae sana...kwa hela ya kawaida ntaanza na run x
Bei yake ikoje sokoni?HUko ni baadae sana...kwa hela ya kawaida ntaanza na run x
Huwa inasemwa Sana humu, ukifikiria Sana utumiaji wa mafuta kwenye gari...basi Jua wakati wako WA kumiliki gari bado.Hizi ndinga zimekaa vizuri kuanzia umbo la nje, speed 240kph (max), AWD, ground clearance nzuri. Vijana hizi ndo gari za kuendesha Kwa sasa si MURANO
View attachment 2694836View attachment 2694837View attachment 2694838View attachment 2694839View attachment 2694840View attachment 2694840View attachment 2694841
Run x na ist ni sawa tu .....Runx Unazipendea nn mkuu ,unajua mm naziona ila siziamini kabisa😅?
Bei yake ikoje sokoni?
Kama uchumi bado haujasimama vzuri ..itakua ngumu kulihudumiaHuwa inasemwa Sana humu, ukifikiria Sana utumiaji wa mafuta kwenye gari...basi Jua wakati wako WA kumiliki gari bado.
Binafsi siamini kama ni kweli.
Hii kitu Subaru, si rafiki nzuri Sana kwenye matumizi ya mafuta...Wana hawasemi tu
Bei ya runx je inaweza kurupushani za mashimo?Run x na ist ni sawa tu .....
Sio mbaya kwa kuanzia
Vzuri sana ukiipiga spacerBei ya runx je inaweza kurupushani za mashimo?
Gari za kuanzia maisha kwa mtu anaejitafuta bado runx,ist na premioBei ya runx je inaweza kurupushani za mashimo?
Bei ipo juu kidogo hazijapishana kama ist tuSwali limekua gumu
Bei ?
Uimara?
Runx
Avute tu, lakini siku iyo BMW ikitaka kumpima kama kweli anaheshima au laah awe tayariKam uko gud Zaid vuta BMW utie heshima mjini
Haha BMW zmepaki garage Tena mpyaa ulizia tatzo utajiwe Bei ya spea😅😅Avute tu, lakini siku iyo BMW ikitaka kumpima kama kweli anaheshima au laah awe tayari
😂😂😂 Bima uongo sana, wanajua kudesign body tu,Haha BMW zmepaki garage Tena mpyaa ulizia tatzo utajiwe Bei ya spea😅😅
Gx 110 nayo nzuri piamimi huniambii kitu naikubali mark 2 grande gx 80 mpaka 100
Mark 2 ni gari kwa ujumlaGx 110 nayo nzuri pia
Moja ya gari za sedan ninazokubali ni grand mark II na crown athleteMark 2 ni gari kwa ujumla