Subaru Forester Vs Mazda CX5

Hakika Tutafute Hela Kaka [emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subaru ni 4x4 kawaida
Mazda ni FWD kawaida na 4WD kama uliorder. Si lazima ukaipata ya 4WD kwa second hand
 
Watanzania sijui wapoje aisee. Yaani eneo la kuharibu magari wapo vizuri balaa.
 
Sijui nimekuaje siku hizi,gari zenye gear lever hata iwe Kali vipi Sina mzuka nazo,Basi tu ni maisha.Natamani wangeweka Kama za Jaguar XF,kitu unazungusha tu P,R,N,D kama redio vile.
 
Au za RR na Disco. Hahahaa unaweza mpa mtu lift akajua cha kuongezea sauti. Mtajikuta mpo mtaroni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we gear unaweka kama unawasha AC. Hajawahi panda gari na wale mademu wajuaji ambao akiingia kwenye gari anaanza kujiweka huru utadhani gari la baba ake.

Mara kaanza kubonyeza redio, mara aanze kuadjust AC, mara arekebishe siti yake mara aweke miguu kwenye dashboard, mara afungue draw anatafuta chaji. Sasa wa hivi ukimuingiza hizi gari za umeme ambazo gear knob ni kama switch ya AC, na Handbrake wameitengeneza kama button ya power window anaweza kukutia majanga ya mamilioni.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
π™½πš’πš’πš™πšŠπšπšŽ π™΅πš˜πš›πšŽπšœπšπšŽπš› 𝚒𝚊 2016-2018 πšπšžπš›πš‹πš˜ πšžπš—πš’πšŠπš–πš‹πš’πš’ πš”πš’πšπšž
 
Diesel za bongo low quality?
Duuh haya bhn…
 
Acha uongo 15 - 18 km per liter?

No research no right to speak..
Ungesema ukweli ni upi kwa kutumia hizo data. Alichokisema huyo hajakosea kutokana na official data. Ila tu haya magari yakishakuwa yametumika huwa ni ngumu kupata hizo namba. Uzima wa gari, quality ya oil, mafuta, na mazingira huathiri hizo namba. Lakini kwa ujumla bado hii gari ikiwa nzima inakula mafuta vizuri sana ukilinganisha na gari nyingine tulizozoea bongo kama rav 4, vanguard, etc
 
Mwezi ujao nataka nihame kwenye Carina Ti na mimi niwe mtu mwenye gari kweli .

Subaru legacy 2015 na subaru forester 2013 hipi itakua nzuri zaidi bei zina tofautiana kwa 3 million
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…