Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nje iyo design wao wanaiita Kodo design or Soul of Motion. Ilianza kwenye izo CX5 sahivi imesambaa kwenye lineup nzima ya Mazda.
Ndani wamechukua interior ya Mazda 6 (Atenza) za kuanzia 2016 aisee. Unyama sana .
View attachment 2938472
Mkuu, hii ni CX5 aisee. Sasa kuna vyuma vinaitwa CX50, CX9 na CX90.
Aisee tutafute hela sana.
Subaru ni 4x4 kawaidaHii ndio habari ya mjini Kwa wale wapenda magari mazuri
Hizi ni gari shindani kwa sababu zote zipo kundi moja la COMPACT SUV.
Zinafanana sifa katika utendaji kama vile:
1. Ukubwa wa umbo
2. Nafasi kubwa ndani
3. Ground clearance nzuri
4. Nguvu ya kutosha kustahimili
changamoto za barabara
ngumu
Baadhi ya Tofauti ambazo zinaweza kukusaidia kuchagua kati ya SUBARU FORESTER na MAZDA CX5 ni kama vile:
1. Muonekano, macho
yanatofautiana kila mtu ana
Upendeleo binafsi kati ya
Muonekano wa FORESTER na
MAZDA CX5
2. Matumizi ya mafuta, MAZDA
CX5 nyingi ni Diesel na
zinakwenda mpaka 18KM/L
wakati FORESTER ni Petrol na
zinakwenda 14KM/L. Kuhusu
utofauti wa injini ya Petrol na
Diesel unaweza kurejea somo
hilo lipo humu
3. Upatikanaji wa vifaa na
mafundi, Japo gari zote hazipo
kwa wingi sana, lakini subaru
ipo kwa wingi na hata vifaa ni
vingi na mafundi wapo wengi
pia kulinganisha na MAZDA
CX5
4. MAZDA CX5 zilizo nyingi ni
Non-Turbo lakini zinakuwa na
nguvu kubwa kuliko
FORESTER NON-TURBO (XS)
FORESTER XT inazalisha
nguvu kubwa zaidi kuliko
MAZDA NON-TURBO. Lakini
MAZDA CX5 TURBO inazalisha
nguvu kubwa kuizidi kidogo
FORESTER TURBO (XT)
5. Bajeti, MAZDA CX5 bajeti yake
ni kuanzia TSH 27M mpaka
TSH 30M wakati FORESTER
NEW MODEL zinaanzia TSH
25M mpaka TSH 28M lakini
pia FORESTER OLD MODEL
bajeti ni chini zaidi.
Bila shaka maelezo haya yanajitosheleza kukuwezesha kufanya Uchaguzi sahihi.
[emoji6][emoji1666][emoji1666]
View attachment 2789002View attachment 2789003
Watanzania sijui wapoje aisee. Yaani eneo la kuharibu magari wapo vizuri balaa.Nina fundi wangu mmoja ninamkubali ila anasema engine za Mazda zina changamoto sana, toka zimeanza kuingia kwa wingi hizi Mazda anasema zimeletwa kwake zaidi ya nane kwa matatizo engine tena zote namba E'! Ni kweli au hao watumiaji hawana uelewa nazo.?
Hapo unafananisha Pepsi na chai.Ka Mazda kama Dualis harafu nitoe mil 30-40
Ka Mazda kama Dualis harafu nitoe mil 30-40
Sijui nimekuaje siku hizi,gari zenye gear lever hata iwe Kali vipi Sina mzuka nazo,Basi tu ni maisha.Natamani wangeweka Kama za Jaguar XF,kitu unazungusha tu P,R,N,D kama redio vile.Nje iyo design wao wanaiita Kodo design or Soul of Motion. Ilianza kwenye izo CX5 sahivi imesambaa kwenye lineup nzima ya Mazda.
Ndani wamechukua interior ya Mazda 6 (Atenza) za kuanzia 2016 aisee. Unyama sana .
View attachment 2938472
Mkuu, hii ni CX5 aisee. Sasa kuna vyuma vinaitwa CX50, CX9 na CX90.
Aisee tutafute hela sana.
Umekula?Ka Mazda kama Dualis harafu nitoe mil 30-40
Au za RR na Disco. Hahahaa unaweza mpa mtu lift akajua cha kuongezea sauti. Mtajikuta mpo mtaroni.Sijui nimekuaje siku hizi,gari zenye gear lever hata iwe Kali vipi Sina mzuka nazo,Basi tu ni maisha.Natamani wangeweka Kama za Jaguar XF,kitu unazungusha tu P,R,N,D kama redio vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we gear unaweka kama unawasha AC. Hajawahi panda gari na wale mademu wajuaji ambao akiingia kwenye gari anaanza kujiweka huru utadhani gari la baba ake.Au za RR na Disco. Hahahaa unaweza mpa mtu lift akajua cha kuongezea sauti. Mtajikuta mpo mtaroni.
Diesel za bongo low quality?Being ndio tatizo, hizi za 2017 zina bei iubwa kidogo. Sa chini ya hapo zina matatizo ya DPFkama zilivyo gari nyingi za Diesel za miaka ya karibuni, hasa kwa mazingira yetu ya bongo ambako diesel ni low quality, inaccurate shida nyingine ya ndogo ndogo ila ukizitibu gari inadumu. Inataka service kwa wakati na kutumia oil sahihi
Acha uongo 15 - 18 km per liter?Mazda CX-5 ni diesel engine kuhusu fuel consumption iko vizuri Sana tofauti na Subaru forester, Mazda CX-5 inatembea km15-18 Kwa ltr hii ni sahihi kabisaa
Wenzako huwa wanabisha alafu wanaokupa na data ili kudhihirisha ukweliAcha uongo 15 - 18 km per liter?
No research no right to speak..
WENGI WANADAI HIVOAcha uongo 15 - 18 km per liter?
No research no right to speak..
Ungesema ukweli ni upi kwa kutumia hizo data. Alichokisema huyo hajakosea kutokana na official data. Ila tu haya magari yakishakuwa yametumika huwa ni ngumu kupata hizo namba. Uzima wa gari, quality ya oil, mafuta, na mazingira huathiri hizo namba. Lakini kwa ujumla bado hii gari ikiwa nzima inakula mafuta vizuri sana ukilinganisha na gari nyingine tulizozoea bongo kama rav 4, vanguard, etcAcha uongo 15 - 18 km per liter?
No research no right to speak..