Zote ziko poa ila hapo umefanya comparison ya sedan na SUV vitu viwili vyenye ladha tofauti kabisaMwezi ujao nataka nihame kwenye Carina Ti na mimi niwe mtu mwenye gari kweli .
Subaru legacy 2015 na subaru forester 2013 hipi itakua nzuri zaidi bei zina tofautiana kwa 3 million
Legacy ni kama Carina TI Tu bado ni gari za chini, sioni sababu ya kutoka kwenye salon na kuingia kwenye salon .... chukua forester 2013Mwezi ujao nataka nihame kwenye Carina Ti na mimi niwe mtu mwenye gari kweli .
Subaru legacy 2015 na subaru forester 2013 hipi itakua nzuri zaidi bei zina tofautiana kwa 3 million
NomaaMazda CX-5 ni diesel engine kuhusu fuel consumption iko vizuri Sana tofauti na Subaru forester, Mazda CX-5 inatembea km15-18 Kwa ltr hii ni sahihi kabisaa
Fafanua kidogo hapa mkuu? Ford wanamiliki Mazda au vice versa, au wanashare technology, engine, etc???Mazda ni Ford hao hao..
Ford walikua na uhusiano na Mazda kwa miaka 40 ambayo walisitisha mwaka 2015 na kubaki na 1/3 ya umiliki na Mazda ila sasa hivi wapo na share na Toyota kwenye Engine na Technology mpya kwa Mazda za miaka ya nyuma Engine na parts zilikua sawa na Ford..Fafanua kidogo hapa mkuu? Ford wanamiliki Mazda au vice versa, au wanashare technology, engine, etc???
Upo sahihi, na yalikua yanapata kutu sana. Ila sasa Mazda na SkyActiv engine yake ameachana kabisa na Ford.Ford walikua na uhusiano na Mazda kwa miaka 40 ambayo walisitisha mwaka 2015 na kubaki na 1/3 ya umiliki na Mazda ila sasa hivi wapo na share na Toyota kwenye Engine na Technology mpya kwa Mazda za miaka ya nyuma Engine na parts zilikua sawa na Ford..
Huwez pata hiyo figure kamwe, hasa kwa haya ma third hand tunayookoteza japan…Wenzako huwa wanabisha alafu wanaokupa na data ili kudhihirisha ukweli View attachment 3033228
Subaru ukiacha speaker pia ni jini Kwa kubugia mafutaMkuu hili la matumizi ya mafuta...
Huwa inasemwa na nakubali, kuwa matumizi ya mafuta kwenye gari inategemea vitu vingi...
Ila Kwa navyofaham...Subaru Forester (turbo au non turbo), ikijitahidi Sana sana itaenda 08km/ltr wakati Mazda CX 5 ikijitahidi Sana itaenda 10km/ltr.
Huu ni uzoefu wangu mdogo...naweza kurekebishwa
Mkuu hii gari pamoja na kumiminiwa sifa kedekede, mm kwa kweli bado sikaelewi...kama ulivyosema, kamekaa kama dualis na pua kama ya nguruwe..Ka Mazda kama Dualis harafu nitoe mil 30-40