Subaru Impreza Hatchback ni Chaguzi Sahihi??

Subaru Impreza Hatchback ni Chaguzi Sahihi??

Kaka najua ushapata ushauri mkubwa kutoka kwa watu ila nachokwambia ni kuwa kama unataka gar ya alinunua babu had mjukuu anatumia chukua subaru regardless kama ni impreza ama legacy ama forester as long as ni non turbo hutajuta


Mi nina legacy ya 2002 yenye cc 2.0 napata 10km/l trip towns highway 13 to 14

Huu ni mwaka wangu wa sita and i have abused this car only God knows how, maana ndo hakahaka
Njia zote nimekapitisha na it had never fails
Me

Kuhusu spare yah zina bei ila ukifunga unasahau hata iwe used. Mi mwenye natembelea used spare na nimebadili shockup once nilipoingiza otherwise ni mabush ambayo nabadili at least once a year au year and a half

Mafuta asikudanganye mtu mimi yangu inakula
Mafuta kama gar yoyote ile ambayo ni non turbo yenye cc 2000 iwe toyota carina ama IST


Kuhusu kuunguza gasket mi nina mwaka wa sita na nina km 165000 sijabadili
Chochote kwenye engine na gar imeingia ikiwa na 100k

Kikubwa matunzo naweka recomended Oil ambayo ni around 150k bei ila
Inakupa 20km mi naibadilisha nikifika 10km oil
Inatoka bado mupya

By the way yangu ni manual

Nina thread humu imezungumzia
Subaru na bei za spare itafute
Oil gani hio ya 150,000 inayokupa 20,000KM
 
What about BMW 5 Series? Benz C/S series?
Hahahaa nimgeshangaa usingesema achukue Mjerumani. Imprezza Hatchback nadhani Mshauri achukue 1 series 116i kama ana stress za Mafuta. Inanusa tu.
 
Oil gani hio ya 150,000 inayokupa 20,000KM


tembelea pale Puma iliyopo kona ya fire au kwa wale jamaa wanaojiita wambi oil utazikita oil za magari zinazokupa 12km to 20km, na ni expensive kuna zinazopatiokana kwenye lita moja moja na kuna zinazopatikana kwenye ujazo wa lita 4. ila ni car manufactuere recommended oil , na almost karibu zote ni catrol product

ngoja nikafukue makabrasha yangu nikikutana na ile aina nitawaambien humu, sema siku hiz nimeanza kuloweka so nimeshusha quality. kidogo
 
He he he he he he! Wabongo tunafurahisha sana.

Kwani ungeanzia tu kuulizia kuhusu Subaru kulikuwa na tatizo?!!! Sasa umeanza kuelezea story za maisha binafsi, mara kujenga. Hivyo vingine ni non of our business.

Binafsi umbo la subaru huwa halinivutii!
WEWE UNA CHUKI DHIDI YA MAFANIKIO YA MTOA MADA WEWE!!!
 
Nakapenda sana haka kagari, sema mbeleni katakua yeboyebo maana kamenunuliwa sana...
Chief ni kwwli kabisa, ndani ya Miezi hii Mitatu/Minne haka haka kagari watu wanakanunua yaani ndio kama mbadala Fulani wa IST. I guess muda si muda katapanda chart kama si kupanda bei
 
Ukweli hata mimi subaru huwa hainivutii kabisa
Binafsi ile forester old model hainivutii kabisa. Kila nikiiona najiuliza watu wanapendea nini Subaru, ila hizi Impreza Hatchbacks aaah they are my favourite kwa sasa.
 
Utatumia sh.ngapi hadi.kuitoa bandalini?
Kila kitu Jumla mpaka barabarani Max 11Mil. Nimeagiza mwenyewe na mm mwenyewe ni Agent, hivyo nimesave kiasi. Ukienda kwa hawa waagizaji atakupanga kwa 12.5Mil mpaka 13Mil
 
Hahahaa nimgeshangaa usingesema achukue Mjerumani. Imprezza Hatchback nadhani Mshauri achukue 1 series 116i kama ana stress za Mafuta. Inanusa tu.
Hzo gari zimeingia kasi sana siku hizi, tatizo ni fupi sana na imekaa kiluxury zaidi. Huku kwangu mabonde kuinama haitonifaa mkuu
 
Subaru ipi sasa umbo lake hakikuvutii!!?

Imprezza
Legacy
Forester
He he he he he he! Wabongo tunafurahisha sana.

Kwani ungeanzia tu kuulizia kuhusu Subaru kulikuwa na tatizo?!!! Sasa umeanza kuelezea story za maisha binafsi, mara kujenga. Hivyo vingine ni non of our business.

Binafsi umbo la subaru huwa halinivutii!
 
He he he he he he! Wabongo tunafurahisha sana.

Kwani ungeanzia tu kuulizia kuhusu Subaru kulikuwa na tatizo?!!! Sasa umeanza kuelezea story za maisha binafsi, mara kujenga. Hivyo vingine ni non of our business.

Binafsi umbo la subaru huwa halinivutii!
Gari ni Kama mwanamke...
Umbo la mwanamke linalonivutia Mimi siyo lazima likuvutie wewe...
Na mwisho wa siku Kuna kipendacho roho
 
Hahahaa nimgeshangaa usingesema achukue Mjerumani. Imprezza Hatchback nadhani Mshauri achukue 1 series 116i kama ana stress za Mafuta. Inanusa tu.
Mjerumani ana vyuma fresh tu tena kwa bei reasonable.

Sijawahi ielewa hii Subaru, ningekuwa mimi ningechukua VW Golf/Polo, Audi A4.
 
He he he he he he! Wabongo tunafurahisha sana.
Kwani ungeanzia tu kuulizia kuhusu Subaru kulikuwa na tatizo?!!! Sasa umeanza kuelezea story za maisha binafsi, mara kujenga. Hivyo vingine ni non of our business.
Binafsi umbo la subaru huwa halinivutii!
Ushamba ni tatizo kubwa sana!
 
Yani Legacy hainivutii hata kidogo sometime huwa naiona kama Tax(Carina,Corolla and several related Cars)
Kitu Subaru Forester 2008 Model 2000cc ni hatar tupu(SUV)
Harier akasome kwa body Structure
Hapo kwa forester 2008 kongole mkuu
 
Kwann kunafananishwa impreza racing car na ki IST
 
Mkuu niliamua kufunga macho nasubiri Mchuma ufike kwa sasa. Nadhani mwezi wa sita katikati itakuwa imeshafika. Can't wait the experience
Mkuu habar, naamin subaru ishafika na umeanza kuitumia vp ipoje kwenye swala la consuption
 
Mkuu habar, naamin subaru ishafika na umeanza kuitumia vp ipoje kwenye swala la consuption
kawaida sana nionavyo mimi. Yangu ni Cc 1490 TU hatupishani sana na IST. Kwa foleni za jiji napata somewhere btwn 12-13KM per litre. Mafuta ya 15000 nasukuma 80KM na hapo sipo highway. stability ni nzuri sana, gari imetulia barabarani plus the speed. i truly love he car, service kwa wakati ni muhimu sana. Changamoto spares ziko juu kiasi
 
Back
Top Bottom