Subaru Impreza Hatchback ni Chaguzi Sahihi??

Subaru Impreza Hatchback ni Chaguzi Sahihi??

kawaida sana nionavyo mimi. Yangu ni Cc 1490 TU hatupishani sana na IST. Kwa foleni za jiji napata somewhere btwn 12-13KM per litre. Mafuta ya 15000 nasukuma 80KM na hapo sipo highway. stability ni nzuri sana, gari imetulia barabarani plus the speed. i truly love he car, service kwa wakati ni muhimu sana. Changamoto spares ziko juu kiasi
Ahsante mkuu kwa kunipa mwanga ya kwako imetembea km ngapi uliponunua
 
Hizi subaru zimenunuliwa sana mwaka huu aisee.... sijui ndo mbadala wa IST ili tusipewe tuhuma za kuhongwa...??

Anyway, the car is sexy..
 
Subaru ni gari nzuri sana, nakushauri uchukuee Subaru forester ni 4wheel drive,
Cc2000 inakula mafuta

Spares zake ni gharama tu Kama zilivyo spares za Audi na BMW

kama unawaza sana mafuta nakushauli nunua Toyota Runx cc 1450, Nimetuma Hii gari ni nzuri miaka 5, nilinunua kwa mtu nika kaaa nayo miaka 2 nigauza.. Niknunu mpya.

Ni gari economic kwenye mafuta, ina speed, Tafuta ya mwaka 2006. Utafurahi sana.

NB

SPARE ZOTE ORIGINAL NI GHARAMA SANA HAIJALISHI BRANDI YA GARI

SEMA TU, SOKO LA SPARES LA TOYOTA LIMEINGILIAWA NA SPARES FEKI KUTOKANA NA WATUMIAJI WENGI WA TOYOTA NI WATU KIPATO CHA CHINI

ILA BRANDS KAMA SUBARU, BMW, AUDI SPARES ZAKE NI OG, NI NGUMU KUPATA FEKI SPARES KWA SABABU SOKO LAKE KWA. AFRICA SIO KUBWA SANA NDIO MAANA YANAPENDELEWA SANA NA WATU WENYE UWEZO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari za weekend,

Sio siri nimejibana sana kununua ndinga nikiamini kwenye kuanza kujenga. Nashkuru nimepata kapango cha kujihifadhi na nimeamua kuvuta ndinga. Kabla sijavuta mchuma niliwafuata jamaa zangu kadhaa kwa ushauri. Vipaumbele vyangu vingiwa Gari yenye gharama ndogo ya mafuta, maintenance na uagizaji. Nilihitaji gari isiyokuwa na engine capacity ya zaidi ya 1500 na owe low mileage, chini ya 80,000KM. Niliposhauriwa IST I was like kila nikigeuka naona everybody owns it, imekaa sana sokoni soon itaondoka na hii gari nataka nikae nayo kwa muda. Wapo walionishauri Allex, Premio lakini mwisho wa Siku I met this friend of mine. Akaniuliza what is your desire. Nikamwambia Subaru Impreza Hatchback zilizoanza kutoka mwaka 2007. Tukaanza kuifanyia assessment. Kwenye ulaji wa mafuta ni 13/16 urban/highway it can go down to 10km/l kukiwa na traffics kubwa. I can use budget ya IST ama Allex kuimport hii gari, utata kidogo ulikuja kwenye maintenance. Cost zilionekana kuwa juu kiasi though tuliambiwa spare zake ni mkataba. Je, Subaru Impreza Hatchback ni chaguzi sahihi? Vp kwenye masuala ya maintenance kuna yoyote mwenye experience na hzi gari akaongelea?? Shukrani!!
Spea OG Ni mkataba
 
Subaru ni gari nzuri sana, nakushauri uchukuee Subaru forester ni 4wheel drive,
Cc2000 inakula mafuta

Spares zake ni gharama tu Kama zilivyo spares za Audi na BMW

kama unawaza sana mafuta nakushauli nunua Toyota Runx cc 1450, Nimetuma Hii gari ni nzuri miaka 5, nilinunua kwa mtu nika kaaa nayo miaka 2 nigauza.. Niknunu mpya.

Ni gari economic kwenye mafuta, ina speed, Tafuta ya mwaka 2006. Utafurahi sana.

NB

SPARE ZOTE ORIGINAL NI GHARAMA SANA HAIJALISHI BRANDI YA GARI

SEMA TU, SOKO LA SPARES LA TOYOTA LIMEINGILIAWA NA SPARES FEKI KUTOKANA NA WATUMIAJI WENGI WA TOYOTA NI WATU KIPATO CHA CHINI

ILA BRANDS KAMA SUBARU, BMW, AUDI SPARES ZAKE NI OG, NI NGUMU KUPATA FEKI SPARES KWA SABABU SOKO LAKE KWA. AFRICA SIO KUBWA SANA NDIO MAANA YANAPENDELEWA SANA NA WATU WENYE UWEZO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kipato Cha Watanzania si unakijua?. Kijana kamaliza SUA huko kasota mtaani miaka 4 kaajiriwa benki pendwa tawi la Tandahimba hukooo mshahara 400,000 unataka amiliki nn Kama si mi-TOYOTA
 
Back
Top Bottom