I'm Subaru fan! I own Subaru lakini Evo ni vile hazikuwa common!! Nimeziona kwenye rally za kibongo Evo zinafanya vizuriOK back to the Topic iko hiv Subaru ziko nyingi kutoakana na upatikanaji wake na Pia zimezoleka sana kuliko Mitsubishi Evo but Evo ndo mbishi wa wote yani hivoo
mkuu ni hizi wanazocheza nazo kwenye rallySubaru ipi kuna GC8, N12, N14, GDB, na Mitsubishi ipi kuna kuanzia Evo 1 mpaka 10 sasa sijui unashindanishaje na pia je ni stock cars(gari kutoka kiwandani ambayo haijachezewa) au moded cars (ambazo zimeongezewa uwezo binafsi)
Tena mashindano ya Juz Bagamoyo mshindi ana. EvoI'm Subaru fan! I own Subaru lakini Evo ni vile hazikuwa common!! Nimeziona kwenye rally za kibongo Evo zinafanya vizuri
kuna rally imeisha leo kama sikosei, ilikuwa bagamoyo nasikia zimemaliza gar 12 kati ya gar 20na kituI'm Subaru fan! I own Subaru lakini Evo ni vile hazikuwa common!! Nimeziona kwenye rally za kibongo Evo zinafanya vizuri
na mshindi wa tatu anasukuma evo9Tena mashindano ya Juz Bagamoyo mshindi ana. Evo
maskini subaruuuuuu ndo zinajoka kwenye rallyView attachment 365672 hizi za kwenye rally mostly inategemeana na drivers ila pia kwa maoni yangu mimi MITSUBISHI ni gari nzuri sana offroad na huko ndipo rally nyingi zinapofanyika
Mfano mzuri ni hii picha rally ilifanyika bagamoyo weekend hii na top 3 winners wote wanaendesha MITSUBISHI EVOLUTION
Hicho kipande acha.. Kutoka sehem moja kuisaka nyingine ni hatari, nilikuwa na nissan patrol natoka tabora nakuja dar.. Kila nikikanyaga wese naona bado tu, nilijuta kupita njia hyo mkuu.Haha Magar kama hayo ndo yanatakiwa yatembeee aiseee na kipande cha Igunga to Singida na Singida to Dodoma achaaa
subiri subaru kaskazin na fans of subaru, inatakiwa madereva wa subaru wajipange upyaKama umefuatilia mbio za juzi Bagamoyo Utajua kuwa Subaru ni matarumbeta tu zinafaa zaidi kwenye harusi na Sio kwenye shughuli hahaahah tena shughuli za wanaume, huku ni Mitsubishi Evo
Nimeiona Mikocheni pale Plaza imepaki nje Jirani na MayfairNISSAN GTR Bongo iko moja
Yah noma sana me siku naiona masaki nikatoa machoNimeiona Mikocheni pale Plaza imepaki nje Jirani na Mayfair
Wafungue band ya tarumbeta, hahahaaa kelele nyiiiiiingi hamna kitus
subiri subaru kaskazin na fans of subaru, inatakiwa madereva wa subaru wajipange upya
Hizo rally muwe mna update humu tuweze ku_tune Tv au twendekuna rally imeisha leo kama sikosei, ilikuwa bagamoyo nasikia zimemaliza gar 12 kati ya gar 20na kitu