Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,134
Hvi subaru ni cylinder 8 ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa nilikua eneo la tukio huyo prandeep alipita mahali sote tulishangaa utafikiri ndege.Kama umefuatilia mbio za juzi Bagamoyo Utajua kuwa Subaru ni matarumbeta tu zinafaa zaidi kwenye harusi na Sio kwenye shughuli hahaahah tena shughuli za wanaume, huku ni Mitsubishi Evo
Nilikosa muda kabisa wa kwenda nilitamani sana sana niwepo nishuhudie kidoogoMpwa nilikua eneo la tukio huyo prandeep alipita mahali sote tulishangaa utafikiri ndege.
Mpwa hawa jamaa wana roho ngumu sanaNilikosa muda kabisa wa kwenda nilitamani sana sana niwepo nishuhudie kidoogo
nasikia hii kitu nomah, moto wa kuotea mbalikwa sasa inayofunguka South Africa hakuna cha Range sport wala ford St ni VW Golf 7 huu moto ni mziki mwingine..
wacha niiangalie mkuu nione ikojeBaba jezy Golf 7 ina bomba nne kila upande mbili mbili hakuna cha mercedes wala Bmw inayofata hapo series zote za hayo magari hakuna inayoweza kufata GTI ina muungurumo wa Simba Dume ni mapenzi yapi kwenye mercedes lakini humo naweza naweza nikawaacha mercedes...Subaru zinauzwa usd 1500 na zipo za kumwaga tuu hapa wakati used ya G 7 ni usd 15,000...bongo tumebanwa kwa sababu ya kodi kubwa ndio maana hakuna tunazungumzia Subaru 2016 hii...
Patrice comtois......jamaa anapenda hunting kinomaila napenda sana rally. kunamadereva vichaa. nakumbuka morogoro kulikua na dereva hatari anaitwa patty jamaa alikuwa noma
Hio kitu nilikua nayo ni balaa cc 1300 tu manual inakupa horse power zaid ya 200 kwa hizo cc, dar - arusha hakuna cha subaru Wala cha nini aliyekua anataka league na hio gari na unywaji wake mafuta ni km7/litre highway, si mchezomazda R8 ni soo aisee
ila kwenye rally za kibongo sizioni. tuna subaru na mitsubishi
AiseeNISSAN GTR Bongo iko moja![]()