Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Mnamiliki gari halafu mnawaza mafuta. Wakati wenu ulikuwa bado. Endeleen kupanda FEKONNjia rahisi fanya hivi....hapo kwenye dash kuna ile button ukiibonyeza unaweza kuona mileage ya gari au Trip A na trip B..
Gari likiwa limeswasha taa ya mafuta, nenda kaongeze mafuta mfano lita 5..
Unakosea...Mnamiliki gari halafu mnawaza mafuta. Wakati wenu ulikuwa bado. Endeleen kupanda FEKON
Kwani mlilazimishwa kununua?Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena.
Unajistukia! Ulaji wa mafuta unasababishwa na vitu vingi (eg. Mileage, ubovu wa Gari, barabara, ujazo wa upepo kwenye matairi etc.)Unakosea...
Kuna mahali nimelalamika gari limenishinda kulihidumia mafuta..?
Point yangu ililenga kutoa maelezo ya namna mtu anaweza kufahamu uhalisia wa consumption ya mafuta...mfano kila lita 1, gari fulani linaweza kwenda km ngapi..
Sidhani kama kuandika vile nilikosea..
Maana taarifa za mtandaoni nyingi hazina uhalisia
Samahani mkuu cruiser gani maana zipo aina nyingi.Mkuu watu wananua magari bila kujua matumizi yake.
Nimetumia Subaru matoleo mawili sasa, ya '98 na ya 2002.
Hizi gari hazikukopeshi, ni brilliant perfomers. Engine zake ni sports, hazikutengenezwa kubania mafuta bali ku-out perform.
Nilijaribu hilo katika mbuga za Makambako-Iringa.
Cruiser moja ilinipita kwa fujo, nami nikaamua kukanyaga mafuta.
Spidi zikifika zaidi ya 140km/hr. valves zinazibuka na kamnyama haka ka Subaru kana paa kirahisi sana hadi 180km/hr na mashine wala haipandishi temperature wakati wa high revs.
Kwa kifupi ile Cruiser nami tukawa ngoma droo hadi Iringa, na dereva mwenzangu wa Cruiser ilibidi akubali.
Hala hala lakini, kamchezo hako ni kwa wazoefu tu na pochi ikiruhusu.
Mkuu ni zile za zamani V6, LC100 siyo V8 , LC200.Samahani mkuu cruiser gani maana zipo aina nyingi.
mkuu hili tatizo limenitokea nimefanya overhaul ila sasa nahangaika na misfire cylinder 1 na 2 , siwezi shauri mtu anunue subaru kwa kweli .Overall! Subaru ni gari yenye mwonekano mzuri kwa nje Ila ni very costly to maintain kutokana na poor design ya engine yake;mostly subaru forester karibia zote non turbo zina head gasket issues na other related problems compared to other car brands like Toyota,BMW,Mercedes etc na ukisha repair hiyo head gasket ambapo nyingi zinakufa kutokana na leakage ya coolant kuchanganyika na oil(ambayo kwa kiasi kikubwa Subaru company wana strugle kufix for years) mara nyingi ni rahisi hyo problem kupasua kichwa sababu ni ngumu sana kuwakuta mafundi wazuri wanaoweza ku repair gasket za Subaru properly-na shida ya mafundi siyo hapa tanzania even in other countries!