Subaru vs Vanguard

Subaru vs Vanguard

Subaru forester fourth generation, SJG engine ya FA20 yenye cc 2000 ya mwaka 2013 na kuendelea ina horse power 272 na torque ya 350nm.

Hiyo vanguard engine yenye 2AZ yenye cc 2400ina maximum horse power ya 160. Sasa kama una akili timamu unachagua ipi?

Vanguard 2Az inafanana na subaru SH5 third generation ya mwaka 2008-2012 yenye engine ya EJ20, na 160 Hp kwa cc2000. Sasa kama cc2000 zina uwezo wa ku deliver similar horse power kwa gari yenye cc2400 hiyo difference ya 400 cc ni loss ya bure kabisa kwenye mafuta.

kwahyo kwa kikao changu hiki kifupi na hii classification fupi inatosha kumpa Subaru mataji ya maana.

Vanguard ya 2GR ina cc3500 na inazalisha 304Hp sasaaa tuseme hii cc 3500 2GR vs cc 2000 FA20 inayo zalisha 272 hp ipi ni competitive advantage? Ipi ni fuel economy na ipi iko more reliable? Ni chaguo lako.

I will choose subaru coz inachoma Mafuta machache kuzalisha power kubwa na kiuchumi ni gari nzuri na gari rafiki. Hili wese ni 3500 kwa lita so itahitaj akili Kubwa sana kufanya choice

Difference ya horse power 34 tuu kati ya FA20 na 2GR isikununulishe gari la cc3500 that is a waste of money and ni gari nzito for nothing. Stick with subbie ya SJG

Ila 2gr ni engine nzuri. Very smooth na ina power ya kutosha bila kusahau reliability.
Shida ni mafuta tu
 
Ni kweli mkuu mimi pia nilikuwa mtu ninaependa sana Vanguard , lakini kabla ya kununua nikafanya sana research , kwa kusoma review mbali mbali, nikaja kugundua Vanguard inapewa thamani ya pesa kuliko kitu inachokitoa.... Subaru forester ni best kuliko Vanguard... Performance, fuel consumptions, kutulia ikiwa barabarani, speed kubwa gari haiyumbi....
Subaru forester fourth generation, SJG engine ya FA20 yenye cc 2000 ya mwaka 2013 na kuendelea ina horse power 272 na torque ya 350nm.

Hiyo vanguard engine yenye 2AZ yenye cc 2400ina maximum horse power ya 160. Sasa kama una akili timamu unachagua ipi?

Vanguard 2Az inafanana na subaru SH5 third generation ya mwaka 2008-2012 yenye engine ya EJ20, na 160 Hp kwa cc2000. Sasa kama cc2000 zina uwezo wa ku deliver similar horse power kwa gari yenye cc2400 hiyo difference ya 400 cc ni loss ya bure kabisa kwenye mafuta.

kwahyo kwa kikao changu hiki kifupi na hii classification fupi inatosha kumpa Subaru mataji ya maana.

Vanguard ya 2GR ina cc3500 na inazalisha 304Hp sasaaa tuseme hii cc 3500 2GR vs cc 2000 FA20 inayo zalisha 272 hp ipi ni competitive advantage? Ipi ni fuel economy na ipi iko more reliable? Ni chaguo lako.

I will choose subaru coz inachoma Mafuta machache kuzalisha power kubwa na kiuchumi ni gari nzuri na gari rafiki. Hili wese ni 3500 kwa lita so itahitaj akili Kubwa sana kufanya choice

Difference ya horse power 34 tuu kati ya FA20 na 2GR isikununulishe gari la cc3500 that is a waste of money and ni gari nzito for nothing. Stick with subbie ya SJG
 
50mil vanguard?? Siyo kweli. Haifiki hata 40m
 
Vanguard ina hadhi, heshima. (Kwa hapa tz) ukilinganisha na Subaru forester

Kijana mdogo ukionekana na Vanguard unaogopeka kuliko subaru....

Subaru inaonekana gari za vijana walizochukua kwa mkopo
 
Vanguard ina hadhi, heshima. (Kwa hapa tz) ukilinganisha na Subaru forester

Kijana mdogo ukionekana na Vanguard unaogopeka kuliko subaru....

Subaru inaonekana gari za vijana walizochukua kwa mkopo
Hivi ni una ona wewe, sio wote wanaona hivyo
 
Vanguard ni gari iliyoizidi Subaru Forester kwa mbali sana. Tuache yote kama performance n.k twende tu kwenye bei. Vanguard ina range kuanzia 30 - 35M wakati Forester inacheza kuanzia 17 - 22M

Bei tu ni kigezo tosha kuwa hizo gari si sawa
ona hii mtu subaru generation y ngap unazungumzia kwanza
 
Back
Top Bottom