Angalia lexus 450 alichofanyiwa na Vamguard 2GRNimeshuhudia video, mashine inakata 180km/hr kama kimasihara.
View: https://www.youtube.com/shorts/m8PjthQjtHg
Legend wanasema jamaa mwenye Lexus mpaka leo anaikimbiza Vanguard na hajaipata..Angalia lexus 450 alichofanyiwa na Vamguard 2GR
View: https://youtube.com/shorts/xrBpkBlifbQ?feature=shared
Hapa chaser Tourer V yenye 1JZ-GTE inachakazwaMjapan hapa ndipo huwa anafeli kuzipa limit 180km/h, hio machine ukiitizama inavyozungusha mshale unaona kabisa inaitamani 280km/h.
HahahahahahLegend wanasema jamaa mwenye Lexus mpaka leo anaikimbiza Vanguard na hajaipata..
Aisee, When you think you are fast and Toyota Vanguard Pulls up, its insane..Hapa chaser Tourer V yenye 1JZ-GTE inachakazwa
View: https://youtu.be/DZEnSvuBifc?si=xfeeoKApxnAUjFc0
Mpuuz amenitoa kwenye reliEngine ya van guard unazijua?
Mark NnMnahangaika tu. Mm mark ndio gari zNgu
unazungumzia mark X sukari ya warembo?Mnahangaika tu. Mm mark ndio gari zNgu
Subaru forester fourth generation, SJG engine ya FA20 yenye cc 2000 ya mwaka 2013 na kuendelea ina horse power 272 na torque ya 350nm.
Hiyo vanguard engine yenye 2AZ yenye cc 2400ina maximum horse power ya 160. Sasa kama una akili timamu unachagua ipi?
Vanguard 2Az inafanana na subaru SH5 third generation ya mwaka 2008-2012 yenye engine ya EJ20, na 160 Hp kwa cc2000. Sasa kama cc2000 zina uwezo wa ku deliver similar horse power kwa gari yenye cc2400 hiyo difference ya 400 cc ni loss ya bure kabisa kwenye mafuta.
kwahyo kwa kikao changu hiki kifupi na hii classification fupi inatosha kumpa Subaru mataji ya maana.
Vanguard ya 2GR ina cc3500 na inazalisha 304Hp sasaaa tuseme hii cc 3500 2GR vs cc 2000 FA20 inayo zalisha 272 hp ipi ni competitive advantage? Ipi ni fuel economy na ipi iko more reliable? Ni chaguo lako.
I will choose subaru coz inachoma Mafuta machache kuzalisha power kubwa na kiuchumi ni gari nzuri na gari rafiki. Hili wese ni 3500 kwa lita so itahitaj akili Kubwa sana kufanya choice
Difference ya horse power 34 tuu kati ya FA20 na 2GR isikununulishe gari la cc3500 that is a waste of money and ni gari nzito for nothing. Stick with subbie ya SJG
Wanasema vizuri gharama mkuu, hata mwanamke mrembo kumtunza gharama.Cc3500 ujipange sio unalia lia mafuta yamepanda bei au unataka gari isiyokula mafuta
Gari yenye turbo ina potential sana kwenye kuimodify unlike naturally aspirated. Hiyo 1jz gte modificationsHapa chaser Tourer V yenye 1JZ-GTE inachakazwa
View: https://youtu.be/DZEnSvuBifc?si=xfeeoKApxnAUjFc0
Subaru forester fourth generation, SJG engine ya FA20 yenye cc 2000 ya mwaka 2013 na kuendelea ina horse power 272 na torque ya 350nm.
Hiyo vanguard engine yenye 2AZ yenye cc 2400ina maximum horse power ya 160. Sasa kama una akili timamu unachagua ipi?
Vanguard 2Az inafanana na subaru SH5 third generation ya mwaka 2008-2012 yenye engine ya EJ20, na 160 Hp kwa cc2000. Sasa kama cc2000 zina uwezo wa ku deliver similar horse power kwa gari yenye cc2400 hiyo difference ya 400 cc ni loss ya bure kabisa kwenye mafuta.
kwahyo kwa kikao changu hiki kifupi na hii classification fupi inatosha kumpa Subaru mataji ya maana.
Vanguard ya 2GR ina cc3500 na inazalisha 304Hp sasaaa tuseme hii cc 3500 2GR vs cc 2000 FA20 inayo zalisha 272 hp ipi ni competitive advantage? Ipi ni fuel economy na ipi iko more reliable? Ni chaguo lako.
I will choose subaru coz inachoma Mafuta machache kuzalisha power kubwa na kiuchumi ni gari nzuri na gari rafiki. Hili wese ni 3500 kwa lita so itahitaj akili Kubwa sana kufanya choice
Difference ya horse power 34 tuu kati ya FA20 na 2GR isikununulishe gari la cc3500 that is a waste of money and ni gari nzito for nothing. Stick with subbie ya SJG
Ulisikia wapi?Amna ni 34
50mil vanguard?? Siyo kweli. Haifiki hata 40m
Weka picha mzee wanguCar4Sale - Vanguard viti 7 mpya (chasis number) inauzwa 41m
π₯INAUZWA: VANGUARD MPYA VITI 7 Kwa 41mπ₯ -βββββββββββββββββ πNa YETU MOTORS CO. LTD- Waelimishaji, Washauri na Waagizaji Magari Makubwa na Madogo _________________________________ HATUAGIZI MAGARI PEKEE, kwanza utaelimishwa na kushauriwa. Karibu uagize yako leo _________________________________...www.jamiiforums.com
Usifananishe upumbavu wowote na TOYOTA. Toyota ni leave nyingine.
Hivi ni una ona wewe, sio wote wanaona hivyoVanguard ina hadhi, heshima. (Kwa hapa tz) ukilinganisha na Subaru forester
Kijana mdogo ukionekana na Vanguard unaogopeka kuliko subaru....
Subaru inaonekana gari za vijana walizochukua kwa mkopo
ona hii mtu subaru generation y ngap unazungumzia kwanzaVanguard ni gari iliyoizidi Subaru Forester kwa mbali sana. Tuache yote kama performance n.k twende tu kwenye bei. Vanguard ina range kuanzia 30 - 35M wakati Forester inacheza kuanzia 17 - 22M
Bei tu ni kigezo tosha kuwa hizo gari si sawa