Subiri ujionee sasa: faini hii ya simba itashikiwa bango na"wachambuzi" kinoomanooma

Subiri ujionee sasa: faini hii ya simba itashikiwa bango na"wachambuzi" kinoomanooma

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Yaani shuzi limepata mjambaji ndugu zangu, kesho vipindi vya asubuhi haswa kile cha Efm lisaa lizima topic itakuwa ni faini ya milion 23 kwa simba kuna mtangazaji mwenye kidoti atakuwa anazunguruka kwenye kiti na kutikisa mabega kwa masham sham huku akipiga simu kwa Mangungu, ahmed Ally na mwisho anamalizia kwa Sope zeruzeru akidai ana balance story

Wengine wataenda mbali na kupiga simu huko kwenye radio za south africa wakijadili suala la hilo na kuikandia simba kwa nguvu na akili zao zote

It will be a fun day kwa makanjanja
 
Kwahiyo wao kama waandishi wa michezo wasiongelee?

Haya wewe una akili sana kijana 🤣🤣
Ahaaa umerudi kutoka kwenye BAN siyo?pole sana usirudie kumtukana tena genius kama mimi..sasa kujibu hoja yako ni kwamba wale siyo waandishi wa habari..waandishi ni kama Jenerali Ulimwengu, Abdallah Majura, Stan katabalo wale ni MAKANJANJA na kuna moja hilo lazima hadi sasa lishafanya interview huko south africa kuiwashia moto simba
 
Ahaaa umerudi kutoka kwenye BAN siyo?pole sana usirudie kumtukana tena genius kama mimi..sasa kujibu hoja yako ni kwamba wale siyo waandishi wa habari..waandishi ni kama Jenerali Ulimwengu, Abdallah Majura, Stan katabalo wale ni MAKANJANJA na kuna moja hilo lazima hadi sasa lishafanya interview huko south africa kuiwashia moto simba
Ban ya siku mbili? Si nilipumzika tu?
Ile ban uliyotandikwa that time karibu mwezi mzima ilikuwa kazi ya nani kama sio yangu sema nimeacha utito kama wako..
 
Ban ya siku mbili? Si nilipumzika tu?
Ile ban uliyotandikwa that time karibu mwezi mzima ilikuwa kazi ya nani kama sio yangu sema nimeacha utito kama wako..
kuwa na heshima uki comment kwenye madini ninayoteremsha huku mimi ni hazina ya taifa, tuko wachache sana nchii wenye IQ kubwa , sawa dogo?
 
Kidoti khanga
Kashaanza huko twitter anadai CAf wamesema ni ndumba aiseeeee, english nayo taabu ingawa kila siku anaenda kwenye nchi zinazozungumza english yaani jamaa ni hopeless kabisa , sasa hivi atakuwa kesha discuss na SOPE llijinga ,angle za kuongea kesho hapo EFM eti na yeye wakiitwa journalists atajitokeza, daaaahhh
kidoti.PNG
 
Tulisha ongea sana kuhusu Simba na mambo ya kishirikina, Kama Taifa tumefedheheshwa sana. Soka letu kama nchi linaonekana ni JUJU kwenda mbele.
leo mnakiri kwamba ni wawakilshi wenu? baba katoka kupambana huko porini uliza kwanza alikutana na masaibu gani siyo unakaa tu home unakalisha kalio na kuleta lawama..simba ina make headlines across afrika iwe mbaya au nzuri na kwa soka la afrika habari ndo hiyo sasa UDI UTAENDELEA KUCHOMWA SANA safari hii tutakuwa tunatolea moshi mdomoni na ritual itafanyika palepale katikati ya uwanja
 
Yaani shuzi limepata mjambaji ndugu zangu, kesho vipindi vya asubuhi haswa kile cha Efm lisaa lizima topic itakuwa ni faini ya milion 23 kwa simba kuna mtangazaji mwenye kidoti atakuwa anazunguruka kwenye kiti na kutikisa mabega kwa masham sham huku akipiga simu kwa Mangungu, ahmed Ally na mwisho anamalizia kwa Sope zeruzeru akidai ana balance story

Wengine wataenda mbali na kupiga simu huko kwenye radio za south africa wakijadili suala la hilo na kuikandia simba kwa nguvu na akili zao zote

It will be a fun day kwa makanjanja
Simba walikosea sana kufanya kile kituko.
 
Yaani shuzi limepata mjambaji ndugu zangu, kesho vipindi vya asubuhi haswa kile cha Efm lisaa lizima topic itakuwa ni faini ya milion 23 kwa simba kuna mtangazaji mwenye kidoti atakuwa anazunguruka kwenye kiti na kutikisa mabega kwa masham sham huku akipiga simu kwa Mangungu, ahmed Ally na mwisho anamalizia kwa Sope zeruzeru akidai ana balance story

Wengine wataenda mbali na kupiga simu huko kwenye radio za south africa wakijadili suala la hilo na kuikandia simba kwa nguvu na akili zao zote

It will be a fun day kwa makanjanja
Tanzania hatuna wachambuzi makini wa mpira, tuna waganga njaa tu wanaojiona wanajuwa mpira. Jamaa mwenye kidoti anakera utangazaji na uchambuzi wake haswa anapomuhusisha zeruzeru wa taifa kwa kila jambo.
 
Yaani shuzi limepata mjambaji ndugu zangu, kesho vipindi vya asubuhi haswa kile cha Efm lisaa lizima topic itakuwa ni faini ya milion 23 kwa simba kuna mtangazaji mwenye kidoti atakuwa anazunguruka kwenye kiti na kutikisa mabega kwa masham sham huku akipiga simu kwa Mangungu, ahmed Ally na mwisho anamalizia kwa Sope zeruzeru akidai ana balance story

Wengine wataenda mbali na kupiga simu huko kwenye radio za south africa wakijadili suala la hilo na kuikandia simba kwa nguvu na akili zao zote

It will be a fun day kwa makanjanja
Mbona mlipoambiwa mliwanga mchana kweupe mlibisha?
Wacha muumbuke
 
Yaani shuzi limepata mjambaji ndugu zangu, kesho vipindi vya asubuhi haswa kile cha Efm lisaa lizima topic itakuwa ni faini ya milion 23 kwa simba kuna mtangazaji mwenye kidoti atakuwa anazunguruka kwenye kiti na kutikisa mabega kwa masham sham huku akipiga simu kwa Mangungu, ahmed Ally na mwisho anamalizia kwa Sope zeruzeru akidai ana balance story

Wengine wataenda mbali na kupiga simu huko kwenye radio za south africa wakijadili suala la hilo na kuikandia simba kwa nguvu na akili zao zote

It will be a fun day kwa makanjanja
Kwa hiyo hizo dola elfu 10 atatoa mdhamini wenu Moo, au mashabiki mtachangishana? Maana mna siku 60 tu!
 
Yaani shuzi limepata mjambaji ndugu zangu, kesho vipindi vya asubuhi haswa kile cha Efm lisaa lizima topic itakuwa ni faini ya milion 23 kwa simba kuna mtangazaji mwenye kidoti atakuwa anazunguruka kwenye kiti na kutikisa mabega kwa masham sham huku akipiga simu kwa Mangungu, ahmed Ally na mwisho anamalizia kwa Sope zeruzeru akidai ana balance story

Wengine wataenda mbali na kupiga simu huko kwenye radio za south africa wakijadili suala la hilo na kuikandia simba kwa nguvu na akili zao zote

It will be a fun day kwa makanjanja
Nakuunga mkono kwa baadhi ya vitendo vya wachambuzi wa soka nchini ambao mwingi umejikita kwenye ushabiki. Taswira ya wachambuzi wetu inatikana na tabia ya Watanzania wengi kupenda kushabikia jambo hata kama ni baya ilimradi liwe limetendwa na Mtu/timu anyoshabikia.
Hata humu JF nawaona Watanzania halisi wanavyojitoa fahamu kushabikia upuuzi wa wachezaji, ujinga wa timu au uhuni wa Viongozi wa timu zao.
Humu kuna mashabiki waliounga mkono Morrison kuvua nguo uwanjani kwa kisingizio cha kuzidiwa na furaha. Wamo waliounga mkono Djuma Shaban kupiga kiwiko kwa kisingizio cha kukasirishwa.
Hili la Simba lilipaswa kukemewa na wote kabla au baada ya kufanyika, lakini wapi waliounga mkono kwa kisingizio cha kusaka ushindi kwa njia yoyote. Leo timu inaadhibiwa kutoa faini fedha zaidi ya mil.20 ambao ni mshahara wa mwezi wa mchezaji Class 1 kwenye timu. Lakini fedha hii ingeweza kutumika kutoa motisha au bonus kwa wachezaji kwenye mechi muhimu zinazoikabili timu. Tusiwe watu wa kuunga mkono upuuzi na kukosoa mazuri.
 
Mtetezi wenu kama kawaida atakuwa Jemedari Saidi Kazumari wa Efm, maana Simba hata wafanye ujinga vp..... yeye ndiye mtetezi wenu.....
 
Sio kushikiriwa bango.. hz ni habari za ukweli na zimeleta aibu na kuchagmfua soka letu,, Makolo na uongozi wao wanapaswa kujitafakari na kubadilika hizi Tabia za kichawi tena kuroga hadharani mchana kweupe..
Hii ni habari kubwa sana kuwahi kutokea kwenye soka letu na inasikitisha.. wachambuzi endeleeni kuchambua hii habari Hadi wiki nzima..
Makolo ni Wanga sana, Timu inayoamini kuwa kushinda ni kuloga tena ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani
 
Back
Top Bottom