Subiri ujionee sasa: faini hii ya simba itashikiwa bango na"wachambuzi" kinoomanooma

Subiri ujionee sasa: faini hii ya simba itashikiwa bango na"wachambuzi" kinoomanooma

Kashaanza huko twitter anadai CAf wamesema ni ndumba aiseeeee, english nayo taabu ingawa kila siku anaenda kwenye nchi zinazozungumza english yaani jamaa ni hopeless kabisa , sasa hivi atakuwa kesha discuss na SOPE llijinga ,angle za kuongea kesho hapo EFM eti na yeye wakiitwa journalists atajitokeza, daaaahhh
View attachment 2227272
Kwani uongo?
 
Back
Top Bottom