Subufa zingepigwa marufuku

Subufa zingepigwa marufuku

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Zamani wapiga ngoma walikuwa wanaanika au wanapasha ngoma zao karibu na moto ili zitoe mlio mzuri. ngoma ambayo haijakauka vizuri hulia vibaya na inakera sana.

Sasa ndivyo zilivyo sabufa. Zinalia kama ngoma iliyolowa. Ukikaa karibu na mtu mwenye sabufa au inapopigwa ni kero sana.

Napendekeza TBS wapige marufuku uingizaji wa sabufa. Hazijakizi vigezo kwa matumizi ya binadamu.
 
Zamani wapiga ngoma walikuwa wanaanika au wanapasha ngoma zao karibu na moto ili zitoe mlio mzuri. ngoma ambayo haijakauka vizuri hulia vibaya na inakera sana.

Sasa ndivyo zilivyo sabufa. Zinalia kama ngoma iliyolowa. Ukikaa karibu na mtu mwenye sabufa au inapopigwa ni kero sana.

Napendekeza TBS wapige marufuku uingizaji wa sabufa. Hazijakizi vigezo kwa matumizi ya binadamu.
Upuuzi tu hasa nyie chawa
 
Back
Top Bottom