Success at school vs success in life

Mabroo wote ambao walikuwa very smart shule full kushika unamba hakuna mwenye maisha mabovu hata mmoja wote wana mitonyo ya kuchelema, bro mmoja alikuwa best student DIT sasa HV anafanya kazi Azania bank, duuh hilo jumba alilolijenga huko mbezi kufuru, mindinga anayopush noma, kila siku anaenda Dubai first class, wana niliowaacha kitaani hali mbaya tu,
 
Toa neno "wote" hapo halafu achana na stori za kiyosaki ma tycoon wenye Phd wapo huko duniani.
 
Sasa hayo unaona ni mafanikio watu wanaongelea pesa sio hivyo vya kujikimu, huyo bado anabahatisha kipato cha kuajiliwa hakitabiriki huyo bro wako kesho akisikia Azania imefungwa nae kafa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Natalia ni mmoja wao
 
Inawezekana Mimi sijaelewa bandiko la mtoa mada! Mimi nimeelewa kuwa anazungumzia wasomi wote ila waliokuwa vinara darasani na wale wa kawaida tu sio failure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika ukweli mtupu Dada.yani kama Unajua huu ubongk wetu.ninaomba nije pm kukupongeza zaidi.nimetamani mpaka nikuone.huwa nakuonaga na jokes zako hapa jukwaani ila kwa hili asiyelielewa hataelewa kitu
 
Sasa hayo unaona ni mafanikio watu wanaongelea pesa sio hivyo vya kujikimu, huyo bado anabahatisha kipato cha kuajiliwa hakitabiriki huyo bro wako kesho akisikia Azania imefungwa nae kafa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba yenye thamani zaidi ya milion200 mbezi bila kujumlisha being ya kiwanja unasema hela ya kujikimu?
 
Sasa hayo unaona ni mafanikio watu wanaongelea pesa sio hivyo vya kujikimu, huyo bado anabahatisha kipato cha kuajiliwa hakitabiriki huyo bro wako kesho akisikia Azania imefungwa nae kafa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] You guy in slum very joker

I love that guy [emoji115][emoji115]

Unazungumzia pesa sasa nyumba ya maana mbezi imunaenda panda mbegu za kunde ndio inatokea, ku-push gari za maana unaweza push gari za maana bila pesa.

Sawa iyo pesa unayozungumzia wewe kazi yake nini.


Mkuu inachoonekana hamuelewi hoja zenu nini mada sio “kuajiriwa na kujiajiri” maana ndipo naona munapoelekea....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sehemu ambayo sielewagi ni hii pale aliejiajiri kujiona bora wakati anahitaji alieajiriwaaje anunue bidhaa zake au huduma zake...hahahaha
 

This is biased business decision to please stupid people who are actually 85% of the population

Waandishi wa vitabu ni frauds kama frauds wengine,wanajua 85% ya watu ni wapumbavu hivyo wanajenga vitabu ku please that audience!
 
unajua mafanikio ya maisha kila mmoja ana Tafasiri yake......


Sasa kama shule ilikupita.. Unawezaje kua Daktari ???.

Je huyu Daktari yeye ajihesabu mwenye mafanikio au asokua namafanikio..?
 
Umeandika ukweli mtupu Dada.yani kama Unajua huu ubongk wetu.ninaomba nije pm kukupongeza zaidi.nimetamani mpaka nikuone.huwa nakuonaga na jokes zako hapa jukwaani ila kwa hili asiyelielewa hataelewa kitu


Asante kwa pongezi, Kwa sasa nimesafiri hadi nirudi ndo ntaweza kuingia huko PM.
 
Sehemu ambayo sielewagi ni hii pale aliejiajiri kujiona bora wakati anahitaji alieajiriwaaje anunue bidhaa zake au huduma zake...hahahaha
Tatizo watu wamekariri kuwa kujiajiri ndo kila kit ila si kweli
Inategemea

nzuri zaidi naona ni kuwa na vipato vyote
Ajira na biashara
 
Acha uongo na ujinga husipende kutetea mtizamo wako Acha kuangalia mamilionea wachache wenye elimu ya juu,Kuna matajili wengi humu nchini wenye elimu Mali wameikuta kutoka kwa BB zao,angalia watu wenye kujimuda kimaisha wakati ni wengi wenye helimu ndogo standard 7 na 0 level,njoo Kkoo wenye maduka makubwa krb wote ni standard 7 na 0 lv,njoo ubungo Yale Manus yote unayoyaona ubungo yanamilikiwa na watu wa Kati kielimu huwezi ukamkuta mwenye masters anapanda ndege anaenda Thailand na China kufuata biashara zake na ukimkuta mwenye masters kwenye Emelets air ujue katumwa na ofic sio yeye km yeye aumize bichwa ,mara nyingi wasomi hawezi kutake risk ndipo hapo wanapofeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea mkubwa,wasomi wengi hawana nidhamu ya pesa,mfano mtu amepata mkopo kapewa oficn Jambo la Kwanza aranubua harie badara ya kuifanyia kazi,jingine mtu aliesoma commerce hawezi kujilipua wanabaki na makanuni Yao kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi mkuu usipeleke shule wanao ili wawe matajiri wakubwa duniani. PERIOD!
Kuwa muelewa hakumaanisha hivyo povu la Nini,ukweli wasomi wengi wa Tanzania ni wajinga wa maisha na mawazo,ndio maana hata bungeni mbunge Msukuma anauwezo wa kujenga hoja na kuisimamia japo ni standard 7 kuliko hata hao wasomi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…