Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"bs" lipo mahali pake?Hivi kwa nini mara nyingi sana wale waliokuwa hawana uwezo kielimu wanafanikiwa Kimaisha na wale waliokuwa wanaakili mnoo ndio wanakazi za kielimu Lakini can’t make money .
Basi mkuu usipeleke shule wanao ili wawe matajiri wakubwa duniani. PERIOD!
N.b"bs" lipo mahali pake?
Walio na fedha nyingi wengi ni wale wenye elimu ya kati au kidogo. Hawaonagi shida kujilipua ili kuitimiza ndoto yao. Msomi yeye anafuata story na mifumo ya maandiko.
Utajiri hauna fomular, wasio na elimu kubwa ndio wanaujua mfumo huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuji comfort!Watu wote billionaires hawajaenda shule na hawakuwa na uwezo kidarasa au walikuwa wanapoteza muda .Yes shule unapata knowledge ila inapokuja kimaisha make money tabu walio na elimu saana .yes watakuwa na phd na professors ila naongelea uwanja wa pesa na maisha inakuwa Ngumu
Ni ukweli
Elimu ni lazima ila lazima uwe street smartHuenda wamekosa Elimu ya maisha
Basi mkuu usipeleke shule wanao ili wawe matajiri wakubwa duniani. PERIOD!
Una Data au umeandika tu, list ya matajiri 100 wakubwa duniani 75% wamesoma.
Matajiri wakubwa Tz wengi wamesoma.
Wajasiliamari vijana wanaopanda kwa kasi Tz graduate.
LEVEL YA NINAPOISHI
Honestly kuna wale mabraza wa mtaa hakuna hata mmoja ambaye hata amejenga nyumba mpaka sasa na gari kwao anasa ila mabraza walosoma wanajenga mijengo na mamiliki mandinga.
KWA LEVEL YANGU
Ambao nilikuwanao sawa darasani wakaishia njiani mimi nikaendelea ndio hawana wanachomoliki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamiliki account ngapi za watu nisimalize damu tu hapa.I’m talking about money in the bank .sio nyumba za mikopo na Magari ya mikopo .Ukistaafu pension ya waziri tanzania Laki 7 katibu mkuu laki 6 mkurugenzi wa wizara laki 2 .Na ukistaafu malipo waziri dollar 90,000katibu mkuu dollar 80,000.ITS a waste of time
I’m talking about money in the bank .sio nyumba za mikopo na Magari ya mikopo .Ukistaafu pension ya waziri tanzania Laki 7 katibu mkuu laki 6 mkurugenzi wa wizara laki 2 .Na ukistaafu malipo waziri dollar 90,000katibu mkuu dollar 80,000.ITS a waste of time