dreamchaser18
Member
- May 21, 2014
- 88
- 36
ww ndo hujui kumbe, hao wasanii wenyewe ndo huwa wanamtafuta sud brown, mm kuna msanii mmoja naishi nae hapa mtaani huwezi kuamini anapenda sana kusoma magazet ya KIU na RISASI, kifupi anayahusudu sana magazet ya shigongo ambayo inshort ni umbea 100%. wasanii wetu wanapenda sana media tension, kuna wasanii wakipgiwa cm na sudi wanaona fahar mno.
Ulichosema kama kina ukweli kama hawapendi magazeti yangefungiwa