Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mapendekezo yangu. Hayahusiani na akili za UTOPOLO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Kibu hajasajiliwa International kutokana na kuchelewaKibu, work rate yake kubwa inatakiwa ugenini
Kibu hakuingizwa kwenye utaratibu wa international games kutokana na matatizo aliyokuwanayo ya uraia hadi timu iingie makundi ndo wanaweza kumuongezaKibu, work rate yake kubwa inatakiwa ugenini
Kweli kabisa yani tukifanya masihara tunapigwaMkidharau mechi kama ya wale makirikiri mnaweza leta habari nyingine.
uko sawa,ila Wawa akae bench,second half Mzamiru aingieMapendekezo yangu. Hayahusiani na akili za UTOPOLO
View attachment 2033460
Ukianza kuongelea uwanja mzee nakuona kama wewe ni mtoto kwenye mpira. Teams zote zilicheza kwenye uwanja huo huo. Malalamiko ya kitoto haya.Wale jamaa ni wazuri, ni uwanja tu uliwapa changamoto siku ile.
So simba waingie kwa tekinik ya kujilinda zaidi kuliko kutaka sifa ya kuwapiga nje ndani
Akili za kitopox hizi......Wale jamaa ni wazuri, ni uwanja tu uliwapa changamoto siku ile.
So simba waingie kwa tekinik ya kujilinda zaidi kuliko kutaka sifa ya kuwapiga nje ndani
hajasajiliwa kwenye hii michuanoKibu, work rate yake kubwa inatakiwa ugenini
Kwa vile ni tofauti na mtazamo wako au?Akili za kitopox hizi......
UTOPOLO hawanaga mtazamo. Kwamujibu wa Manara kwenye akili ni kikwete na baba yake. Mliobaki ni utopex kichwa empty.Kwa vile ni tofauti na mtazamo wako au?
Leo wangecheza na beki 3, inonga, wawa na kennedy kama lwanga kapona leo acheze na mkudeWale jamaa ni wazuri, ni uwanja tu uliwapa changamoto siku ile.
So simba waingie kwa tekinik ya kujilinda zaidi kuliko kutaka sifa ya kuwapiga nje ndani
Believe me Morrison leo atatukanwa na mashabiki ile mbaya.Mapendekezo yangu. Hayahusiani na akili za UTOPOLO
View attachment 2033460