Suggestion: Formation ya Simba kupambana na Red Arrows

Suggestion: Formation ya Simba kupambana na Red Arrows

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Mapendekezo yangu. Hayahusiani na akili za UTOPOLO
Screenshot_20211205-103450.png
 
Mkidharau mechi kama ya wale makirikiri mnaweza leta habari nyingine.
 
Wale jamaa ni wazuri, ni uwanja tu uliwapa changamoto siku ile.

So simba waingie kwa tekinik ya kujilinda zaidi kuliko kutaka sifa ya kuwapiga nje ndani
 
Marekebisho kidogo kwenye formation na tunamtoa wawa anaingia Onyango
Screenshot_20211205-122918.png
 
Wale jamaa ni wazuri, ni uwanja tu uliwapa changamoto siku ile.

So simba waingie kwa tekinik ya kujilinda zaidi kuliko kutaka sifa ya kuwapiga nje ndani
Ukianza kuongelea uwanja mzee nakuona kama wewe ni mtoto kwenye mpira. Teams zote zilicheza kwenye uwanja huo huo. Malalamiko ya kitoto haya.
 
Wale jamaa ni wazuri, ni uwanja tu uliwapa changamoto siku ile.

So simba waingie kwa tekinik ya kujilinda zaidi kuliko kutaka sifa ya kuwapiga nje ndani
Akili za kitopox hizi......
 
Wale jamaa ni wazuri, ni uwanja tu uliwapa changamoto siku ile.

So simba waingie kwa tekinik ya kujilinda zaidi kuliko kutaka sifa ya kuwapiga nje ndani
Leo wangecheza na beki 3, inonga, wawa na kennedy kama lwanga kapona leo acheze na mkude
 
Back
Top Bottom