changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Ni kama kocha kakopi na kupesti vileList yako imetoka kama ilivyo,wachezaji wote ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama kocha kakopi na kupesti vileList yako imetoka kama ilivyo,wachezaji wote ndani.
Mnyama akipata hata goli moja tu la mapema hapo ntakua na imani manake wachezaji wa Simba wamekua na tabia za kurelax wakiona wameshaingiza mguu mmoja ndani.Ni kama kocha kakopi na kupesti vile
Kolo imeishiwa mpaka kufikia hatua kumtegemea KibuKibu, work rate yake kubwa inatakiwa ugenini
Topolo la mchangani weweKolo imeishiwa mpaka kufikia hatua kumtegemea Kibu
Topolo FC bado inawategemea Kaseke na Kabwili ... Kibu x 2000Kolo imeishiwa mpaka kufikia hatua kumtegemea Kibu
Hope umeamini maneno yangu sasa.Ukianza kuongelea uwanja mzee nakuona kama wewe ni mtoto kwenye mpira. Teams zote zilicheza kwenye uwanja huo huo. Malalamiko ya kitoto haya.
Bora wewe Pascal Wawa ulimtoa mapema,kaaribu sana leo na kocha wa Madrid ya Buza akuona madhaifu yake.Marekebisho kidogo kwenye formation na tunamtoa wawa anaingia Onyango
View attachment 2033598
Lakini goal la pili ukiangalia kwa makini ni poor marking ya Bwalya. Damu nzito kuliko maji.Bora wewe Pascal Wawa ulimtoa mapema,kaaribu sana leo na kocha wa Madrid ya Buza akuona madhaifu yake.
Jamaa kashindwa kabisa kupatosa home mazima.Lakini goal la pili ukiangalia kwa makini ni poor marking ya Bwalya. Damu nzito kuliko maji.
Kabwili tuliza kishundu hichoKolo imeishiwa mpaka kufikia hatua kumtegemea Kibu