Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la Sugu ni moja akikushinda kwenye ubunge na thamani yako inapotea hapo hapo hata kale kacheo kadogo ulikonako kanayeyukaHakika dada alikosea Sana kumuamini mshauri wake Mzee Magufuli, namshauri akatafute kazi nyingine
Namsubiri Rais wa Mbeya kata ya Nzovwe!
Huyo sugu...this time hashindiTatizo la Sugu ni moja akikushinda kwenye ubunge na thamani yako inapotea hapo hapo hata kale kacheo kadogo ulikonako kanayeyuka
kama wapiga kura ni wazazi wako pekee basi sawaHuyo sugu...this time hashindi
Nitaleta boti,hahahahahahaaaaaaaaaaaaaa,uwiiiìiii
Utashinda wewe.Huyo sugu...this time hashindi
😂😂😂😂😂😂 uuuwii ... cdm fanyeni chap.,BAK Anahali mbayaaa ukuMkuu Erythrocyte nenda kwenye uzi wa TCAA na vibali vya elekopita ya 'ni Yeye', mmemuacha BAK anaangaika mwenyewe! Hoja 'zimetuelemea' huko! Aisee kaongeze nguvu kwenye uzi huo . Ha ha haaa!
Sio ulevi wanakula vizuri..Mbeya mwanafunzi akigraduate chuo kikuu kawaida hawafanyi party..watu wa Dar njegere anasa ila Mbeya kawaida tu..Ni rahisi mrema kuwa mbunge kule tulia mbeya labda wapeleke convoy ya kijeshi...jamii ya mbeya wana ulevi na siasa za upinzani
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Mwambigija .mzee wa UPAKOHii hapa ni kata ya Igawilo jioni hii
View attachment 1565519View attachment 1565520
Kumbuka hilo ni jeshi dogo tu la Mbeya mjini akiwemo kamanda John Mwambigija
Mbeya huwa hawapindishi, heshma zenu makamanda wa kusini!Hii hapa ni kata ya Igawilo jioni hii
View attachment 1565519View attachment 1565520
Kumbuka hilo ni jeshi dogo tu la Mbeya mjini akiwemo kamanda John Mwambigija
Siri kubwa ni kutokuwa na njaa , Ku Mbeya akajapo unsekele , lo ulu tukuswiga kuno afumile unsekele ugwa ccm , kwa tafsiri ya kiswahili " Mbeya hakuna wembamba kwa vile misosi ni ya kumwaga na ndio maana tunashangaa kimbambau wa ccm alikotokea "Mbeya huwa hawapindishi, heshma zenu makamanda wa kusini!