Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Karibu sanaSawa
bora ametoa sadaka kanisanikuliko zingeishia kwenye betting.Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara wa kimataifa, Mwekezaji na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi , leo amefika kwenye kanisa la KKAM , Parish ya Isanga na kushiriki Harambee ya Kanisa hilo.
Sugu amechangia kitita kizito mno baada ya kushinda mnada wa kuku wa kienyeji, kwa hali ya Uchumi wa Tanzania kwa sasa sioni kama itakuwa vemabkuweka hapa Kitita ambacho Bilionea huyu ametoa baada ya kununua kuku huyo.
Hali ilikuwa hivi.
View attachment 2760001
Sugu Moto chiniMbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara wa kimataifa, Mwekezaji na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi , leo amefika kwenye kanisa la KKAM , Parish ya Isanga na kushiriki Harambee ya Kanisa hilo.
Sugu amechangia kitita kizito mno baada ya kushinda mnada wa kuku wa kienyeji, kwa hali ya Uchumi wa Tanzania kwa sasa sioni kama itakuwa vemabkuweka hapa Kitita ambacho Bilionea huyu ametoa baada ya kununua kuku huyo.
Hali ilikuwa hivi.
View attachment 2760001
bora ametoa sadaka kanisanikuliko zingeishia kwenye betting.
Jamaa yuko addicted sana na kubeti uskute ata hizo alizotoa alitusua mkeka
CHADEMA na Sugu wenu mnajidhalilisha.Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara wa kimataifa, Mwekezaji na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi , leo amefika kwenye kanisa la KKAM , Parish ya Isanga na kushiriki Harambee ya Kanisa hilo.
Sugu amechangia kitita kizito mno baada ya kushinda mnada wa kuku wa kienyeji, kwa hali ya Uchumi wa Tanzania kwa sasa sioni kama itakuwa vemabkuweka hapa Kitita ambacho Bilionea huyu ametoa baada ya kununua kuku huyo.
Hali ilikuwa hivi.
View attachment 2760001
Ok 🤣Oh okay, nafikiri hauna mahusiano na hela zake mpaka umuingilie katika mambo binafsi?
Uongo utakudhalilisha sana .bora ametoa sadaka kanisanikuliko zingeishia kwenye betting.
Jamaa yuko addicted sana na kubeti uskute ata hizo alizotoa alitusua mkeka
pole kwa maumivuKama alishindwa kuichangia CHADEMA hela za kununulia kiwanja cha kujenga ofisi ya chama unafikiri Sugu ataanzia wapi kutoa hicho unachoita kitita cha pesa kwa mwaikali kununua kiwanja? Ndio maana hata wewe umeshindwa kuweka hapa hicho kiasi unachodai ni kitita. Au kama unajiamini weka hapa basi japo najuwa huwezi maana unajuwa itakuwa aibu na ndio maana umekuja kupiga blaa blaa tu.
Hayo si yetuHuyo Askofu mwenyewe amechangia kiasi gani
Hongera sana kijana wangu kwa kurudisha kwa "jamii" kinamna!Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara wa kimataifa, Mwekezaji na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Bilionea Joseph Mbilinyi , leo amefika kwenye kanisa la KKAM , Parish ya Isanga na kushiriki Harambee ya Kanisa hilo.
Sugu amechangia kitita kizito mno baada ya kushinda mnada wa kuku wa kienyeji, kwa hali ya Uchumi wa Tanzania kwa sasa sioni kama itakuwa vemabkuweka hapa Kitita ambacho Bilionea huyu ametoa baada ya kununua kuku huyo.
Hali ilikuwa hivi.
View attachment 2760001
Basi yote wangeachiwa wao msije na habari zao hapaHayo si yetu
sisi tumeleta ya SuguBasi yote wangeachiwa wao msije na habari zao hapa