Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ni takataka, angejua angemwaga nje.Bora mara mia Mh. Sugu kaachana na hii takataka, hivi kweli kuna mwanaume mwenye akili zake timamu anaweza kuendelea kuishi na kimeo kama hichi..
View attachment 592609 View attachment 592608
Ivi Coco ni mimi tu au kuna wengine wana pata shida kuelewa unacho andika?Wanaume waliozaa huku na kule naona wameamua sasa.. pesa pesa pesaaaaaa
Mwisho wa siku mjuage kutumia mipira nyie wengine msio na uhakika na wanawake zenu.. sio kupiga makelele yenu mitandaoni kutafuta huruma.. huku vichwa vyenu viliamua kuwa kulala bila mipira kuna nafasi kubwa sana ya kuishia kulea.
Nasubiri aturushie na pesa ya kila mwezi anatoa kiasi gani.. naona hapo hajamaliza bado.. si ndio wengi mmemshabikia mwenzenu jana au!?
Lakini hakimbii watotoMbona mmemkabidhi sizonje mwenye watoto kadhaa aliyezaa na wanawake tofauti pamoja na shemeji yake?
Kwani huyo amemkimbia?mbona alienda court ukiomba full custody ya mtoto wake?Lakini hakimbii watoto
Yani kwa kweli hata kama Sugu ana matatizo, ila sidhani kama matatizo yake yanamzidi Faiza. Na angekuwa mwanaume mwingine mwenye moyo mdogo na sio famous, yule mtoto nahisi angeshamsusa.Unajua kuna mambo mengine huwa tunalaumu wanaume ila sisi wanawake ndio tatizo, kuna baby momas wengine huwa ni drama queens ukiwaintertain unaweza jikuta unaharibu kila kitu. Japo kweli wapo wababa ambao huwa hawajali watoto wao ila huyu faiza anaonekana tu ana tatizo mahali.
Ukifuatilia trend ya hii movie yao,faiza bado anampenda sugu(alishasema mara nyingi tu) hajamove on, she still wants him, kwahiyo anatumia mtoto kama fimbo ya kumchapia sugu.
Bonge moja la mistake, kila mtu anajua yule mwanamke ni fyatu, then unatumia muda wako kumjibu fyatu, mwisho wa siku atakuchamba wewe hadi ukoo wenu wote. Kati ya wanaume waliokosea kuwa na mahusiano na wanawake wasiofaa ni pamoja na Mheshimiwa na Platnum kwa Mobeto, mwanamke anayeweza kuweka mambo yenu ya faragha kwenye social media huyo ni fyatu kuliko mafyatu wote duniani.
JoseverestHalow Joseverest naona siku hizi unacomment nafasi ya pili na ya tatu nafasi ya kwanza unaiacha kusudi ili tusikukalili?
Hahaha aisee
HahahaHalow Joseverest naona siku hizi unacomment nafasi ya pili na ya tatu nafasi ya kwanza unaiacha kusudi ili tusikukalili?
Imenigusa sana mkuu.Ndio maana wanaume wengine wanasusa watoto. Wanawake muda mwingne Akili zetu tunazijua wenyewe tusameheni tu. Ndio mama zenu, wake zenu, dada zenu mtafanyaje
Ivi Coco ni mimi tu au kuna wengine wana pata shida kuelewa unacho andika?
Sugu wala si wa kulaumiwa...unapokuwa katika mapenzi unakuwa kipofu na kiziwi pia.yashamwagika atafute namna nzuri ya kulimaliza hilo tatizo ikiwezekana jibu la kimya ni bora zaidiKati ya kosa kubwa alilolifanya sungu maishani, ni kutembea au hata kulala na yule mwanamke, nahisi atakuwa amepata hadi mkosi. hivi hakuona wanawake wengine? huko mbeya hakuna wanawake hadi ukachukue mtu anayesingiziwa hadi kujiuza china na hapa bongo?