Bengal Sanke
Senior Member
- May 16, 2011
- 193
- 78
Ingekuwa UK huyu bwana mkubwa angekuwa keshapoteza sifa za uongozi.... Busara na kukaa kimya ni jambo jema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh sawa ila ulipe ada na matumizi ya mtoto
Inamaana hizo risit mbili ndio kamaliza?
hivyo hivyo tu mkuu tunasonga naeIvi Coco ni mimi tu au kuna wengine wana pata shida kuelewa unacho andika?
Yaani ktk hili faiza hata kama ana la maana la kuongea siwezi kumuelewa maana lile ni jipu!!!!Yani kwa kweli hata kama Sugu ana matatizo, ila sidhani kama matatizo yake yanamzidi Faiza. Na angekuwa mwanaume mwingine mwenye moyo mdogo na sio famous, yule mtoto nahisi angeshamsusa.
Faiza is in denial; she is bitter, hajawahi kuaccept kuwa Sugu amemove on, hicho ndo kinachompa kichaa.
Leo atajiproud nimemuacha Sugu, ana kibamia sijui alitaka kunifir@, kesho anaanza tena kumlilia, sijui amemiss kufirw@? Leo Sugu hamtunzi mwanae, kesho nipo tayari kumzalia Sugu mtoto wa pili khaa. Imagine anavyomtukanaga mpenzi wake Sugu, juzi hasira zake kwa Sugu anawaombea hadi mama ake Sugu na huyo mpenzi wake eti afe, jamani hawa watu wanahusikaje na hiyo drama yao? Ndo awaombee kifo?
Hapo hapo anataka wawe wanapigiana simu na Sugu juu ya mtoto, mara apatanishwe na mpenzi wake Sugu, huku kila siku anamtukana, nani atakayekubali huo ujinga? Na Faiza sio kwamba anataka kuongea na Sugu kuhusu mtoto wao tu, yule anataka aitumie hiyo chance kuwa karibu na Sugu pia. Na Sugu angemuentertain tu, angejuta zaidi ya hapa, acha tu aendelee kumpotezea. Cha msingi watafute mtu mmoja wanayemuamini wawe wanamtumia juu ya mawasiliano yao kwa mtoto. Uzuri Sasha anaweza kuongea mwenyewe, wangemtafutia tu hata kitochi kikae home special kwa ajili ya mawasiliano na baba yake.
Na kama Sugu kweli angekuwa hamuhudumii kweli, me nisingeenda kulalamika wala kutukana mitandaoni. Japo inauma lakini ningemlea tu mwanangu bila malalamiko. Kama Mungu alikupa uwezo wa kuibeba mimba ya mwanao, atakupa tu uwezo wa kumtunza. Watu wana mahela ya kusomesha watoto wao Mars, ila Mungu hajawabariki na watoto, wewe uliyepewa concentrate kumlea mwanao, achana na huyo baba ake asiyetaka kumtunza mtoto wake, atapambana tu na dhambi yake. Maandishi yao yataishi milele, sijui mtoto wao atajisikiaje akija kuyaona. Too much drama. (Ngoja nikanywe maji)
mimi niko Mbeya Sugu hajafanya lolote uchaguzi ujao tunampiga chiniUnaijua Mbeya au unaisikia??Naona uko Jimbo la yule jamaa anayeropoka hovyo Bungeni anayejiita SUPIKA.Kaa pembeni huijui Mbeya achana na Mbunge wetu kama unatka muoe wewe huyo FAIZA Ally
Sugu mpaka leo hajaoa anahangaika na machangudoaAliwamgwa baada ya kutembea n Pampas akiwa ughaibuni.Wakinga wakamweka Sugu chini kumpa shule ya mwanamke wa kuoa.
Anasingiziwa wapi wakati kweli alikuwa anauza.Kati ya kosa kubwa alilolifanya sungu maishani, ni kutembea au hata kulala na yule mwanamke, nahisi atakuwa amepata hadi mkosi. hivi hakuona wanawake wengine? huko mbeya hakuna wanawake hadi ukachukue mtu anayesingiziwa hadi kujiuza china na hapa bongo?
[emoji20] [emoji20] [emoji20]Ndio maana wanaume wengine wanasusa watoto. Wanawake muda mwingne Akili zetu tunazijua wenyewe tusameheni tu. Ndio mama zenu, wake zenu, dada zenu mtafanyaje