Sugu amchana Faiza,amwambia kama anataka rav4 aende WCB

Sugu amchana Faiza,amwambia kama anataka rav4 aende WCB

Ingekuwa UK huyu bwana mkubwa angekuwa keshapoteza sifa za uongozi.... Busara na kukaa kimya ni jambo jema sana
 
inabidi tu update sifa za kuoa
feature ya mwanamke awe na akili iongezwe kwenye list
 
Ona sasa. Hayo mambo ya instagram mnayaleta hapa JF ili iweje?? Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe.
 
aiseee huyu faiza acha tu

sugu kaandika maneno machache kwa kupangilia ila huyu mama hatari ilo gazeti aliloshusha[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

na nahisi itakua episode 01[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kama alicha makalio wazi hamna mke hapo Mr Sungu piga kazi ukitoa pesa kwa mtoto kosa usipotoa kosa sasa tufanyaje?
 
Ni Mwanamke mwenye mawazo na tabia za hovyo kuliko staa yoyote Tanzania.
Yupo kama Roboti, ni fyatu asiye na hisia hata tone.
Hakuna Mwanaume chini ya jua angetamani kua na Mwanamke wa aina hii.
 
Yani kwa kweli hata kama Sugu ana matatizo, ila sidhani kama matatizo yake yanamzidi Faiza. Na angekuwa mwanaume mwingine mwenye moyo mdogo na sio famous, yule mtoto nahisi angeshamsusa.

Faiza is in denial; she is bitter, hajawahi kuaccept kuwa Sugu amemove on, hicho ndo kinachompa kichaa.
Leo atajiproud nimemuacha Sugu, ana kibamia sijui alitaka kunifir@, kesho anaanza tena kumlilia, sijui amemiss kufirw@? Leo Sugu hamtunzi mwanae, kesho nipo tayari kumzalia Sugu mtoto wa pili khaa. Imagine anavyomtukanaga mpenzi wake Sugu, juzi hasira zake kwa Sugu anawaombea hadi mama ake Sugu na huyo mpenzi wake eti afe, jamani hawa watu wanahusikaje na hiyo drama yao? Ndo awaombee kifo?

Hapo hapo anataka wawe wanapigiana simu na Sugu juu ya mtoto, mara apatanishwe na mpenzi wake Sugu, huku kila siku anamtukana, nani atakayekubali huo ujinga? Na Faiza sio kwamba anataka kuongea na Sugu kuhusu mtoto wao tu, yule anataka aitumie hiyo chance kuwa karibu na Sugu pia. Na Sugu angemuentertain tu, angejuta zaidi ya hapa, acha tu aendelee kumpotezea. Cha msingi watafute mtu mmoja wanayemuamini wawe wanamtumia juu ya mawasiliano yao kwa mtoto. Uzuri Sasha anaweza kuongea mwenyewe, wangemtafutia tu hata kitochi kikae home special kwa ajili ya mawasiliano na baba yake.

Na kama Sugu kweli angekuwa hamuhudumii kweli, me nisingeenda kulalamika wala kutukana mitandaoni. Japo inauma lakini ningemlea tu mwanangu bila malalamiko. Kama Mungu alikupa uwezo wa kuibeba mimba ya mwanao, atakupa tu uwezo wa kumtunza. Watu wana mahela ya kusomesha watoto wao Mars, ila Mungu hajawabariki na watoto, wewe uliyepewa concentrate kumlea mwanao, achana na huyo baba ake asiyetaka kumtunza mtoto wake, atapambana tu na dhambi yake. Maandishi yao yataishi milele, sijui mtoto wao atajisikiaje akija kuyaona. Too much drama. (Ngoja nikanywe maji)
Yaani ktk hili faiza hata kama ana la maana la kuongea siwezi kumuelewa maana lile ni jipu!!!!
 
Unaijua Mbeya au unaisikia??Naona uko Jimbo la yule jamaa anayeropoka hovyo Bungeni anayejiita SUPIKA.Kaa pembeni huijui Mbeya achana na Mbunge wetu kama unatka muoe wewe huyo FAIZA Ally
mimi niko Mbeya Sugu hajafanya lolote uchaguzi ujao tunampiga chini
 
hakika Kuzaa na mwanamke wa namna hii ni kosa kubwa alilolifanya mh Sugu tangu azaliwe!

Ushauri, Sugu wachana na mambo ya uyo kichaa na apambane na hali yake
Mwanao akikua mchukue kisheria
 
Kati ya kosa kubwa alilolifanya sungu maishani, ni kutembea au hata kulala na yule mwanamke, nahisi atakuwa amepata hadi mkosi. hivi hakuona wanawake wengine? huko mbeya hakuna wanawake hadi ukachukue mtu anayesingiziwa hadi kujiuza china na hapa bongo?
Anasingiziwa wapi wakati kweli alikuwa anauza.
 
Back
Top Bottom