Usipokuwa makini na genye zako na maamuzi ya kimahusiano unaweza kujiharibia life sana.kwa sasa sugu haoni kupoteza kitu lakini badae huyu dame anaweza muharibia sana
Ndio maana wanaume wengine wanasusa watoto. Wanawake muda mwingne Akili zetu tunazijua wenyewe tusameheni tu. Ndio mama zenu, wake zenu, dada zenu mtafanyaje