ribika anaanza kulialia! Shauri yake na yeye hajifunzi kutokana na makosa! hata muda tayari kehsanunua gari. Halafu masikini binti anafurahi kuandikwa jana utakuta Registration Cards ni ya Sugu. mhh Ya Ngioswe mwachie Ngoswe!Sugu kanuni yake ni kuwapenda wavaa vini tuu haonj kwa u kioo wake kwa jamii na maadili yetu ni mbali kabisa...!?
t2021 lazima wakulezege sehemu nyeti kibarua kimeota nyasi sugu mwenyewe anaelewa ngoma nzito wewe kijakazi wake hujashituka unabaki kumnadi au ubongo wote umeliwa na virusi.. ninazzmanin....aaaa mmejistukia kuwa kazi yenyu kuchungulia mambo ya walionacho. hii ndo tabu ya maskini akikujua kidogo tu.
SHEEEEDDDAAAHHHH!!!
sio kila mtu ana mtazamo kama wangu .. ila mafuriko makubwa over 85% wako upande wa tingatinga .. coz kila jambo lazima wapatikane wapingaji ili maisha yaendelee.. shetani alimpinga MUNGU.. Wanadamu waliwapinga mitume(muhammad, jesus)..juzi wale wapinzani sugu (moshi, arusha) walikua wanahojiwa kuhusu utendaji kazi wa tingatinga wakaishia kudai TINGATINGA ni nabii na wanaomba aendelee kua rais mpaka mwisho wa maisha yake...Acha kusemea mioyo ya watu, hivi unajua kuna watu ambao hawajaona la kuwafanya waamini hilo tinga tinga? Usifikiri kila mtu ana mtazamo ka wako.
Ndio uwezo wa kufikiri ulipoishia?sio kila mtu ana mtazamo kama wangu .. ila mafuriko makubwa over 85% wako upande wa tingatinga .. coz kila jambo lazima wapatikane wapingaji ili maisha yaendelee.. shetani alimpinga MUNGU.. Wanadamu waliwapinga mitume(muhammad, jesus)..juzi wale wapinzani sugu (moshi, arusha) walikua wanahojiwa kuhusu utendaji kazi wa tingatinga wakaishia kudai TINGATINGA ni nabii na wanaomba aendelee kua rais mpaka mwisho wa maisha yake...
UnaotaHUYU SUGU HARUDI TENA BUNGENI...NDIO ANAJIPANGA NA KUCHUKUA VYAKE.. ANAJENGA HOTELI YA KIFAHARI.. ANANUNULIA MADEMU MAGARI... KWA SPEED YA MAGUFULI UCHAGUZI UJAO LAZIMA WAZISOME NAMBA HAWA WAJAMAA WA VIDOLE VIDOLE VIWILI NA WAZUNGUSHA MIKONO....HAHA JOKE!!!!
MI kura yangu mpaka Kufwa ni[emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] upuuzi wa ccm upo pale pale hakuna jipyaAcha kusemea mioyo ya watu, hivi unajua kuna watu ambao hawajaona la kuwafanya waamini hilo tinga tinga? Usifikiri kila mtu ana mtazamo ka wako.
AsanteNdio uwezo wa kufikiri ulipoishia?
Stil hujajua kitu binafsi na kazi.Wakati unampa big up ukumbuke jimboni kwake wanafunzi wanakaa chini. Na hao ndio wamempeleka Dom.
Na Sugu kinaendana nae!Kivazi hakiendani na mbunge
Si afadhali kivazi cha huyu kuliko cha yule wa kwanza, Faidha... Alafu inaonekana ndio type/taste za mheshimiwa...Kivazi hakiendani na mbunge
Sio wivu chuki tu hizo"Ze wivu"