FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
Naamini sehemu kubwa ya pesa anazopata ni kupitia dhamana aliyopewa na Wanajamii wake...hivyo kuwalipa kwa kula kuku kwa mrija na kuwaita waje dirishani kushuhudia ni akili a mtu ambaye hajapevuka....na hastahili kuwa kiongozi.Wewe unataka pretenderz.
Vip utendeja wake wa kazi unasua sua?
Ahada zake kwa wananchi unazijua au kuzikumbuka? Wema usizidi uwezo anapiga mishe kwa ajili ya life lakini anaongoza na kutekeleza majukumu ya uongozi kwa ajili ya wananchi wake.
Je unataka awe selfish na asifanye majukumu yake kwa cirlc yake na anaowapenda? Kisa eti wew utamwonaje? Ukiachilia mbali uongozi pia ana maisha binafsi na majukum yake pia . Kama ulisaidia kutafuta hizo pesa mpangie na majukum na limitations otherwise hizo akili nyingi ulizo nazo kumpangia mipaka zitumie wewe ku make pesa na fanya yale aliyoshndwa kuyafanya
Musa alitembea na kuteseka na Wanaisrael, unadhani Mungu alishindwa kumpa Musa uwezo wa kukwepa zile adha?
Uongozi ni wito na kujitoa muhanga, hebu tusitetee mapungufu ya viongozi.