Sugu amnunulia mpenzi wake gari la kifahari!!

Sugu amnunulia mpenzi wake gari la kifahari!!

Wewe unataka pretenderz.
Vip utendeja wake wa kazi unasua sua?
Ahada zake kwa wananchi unazijua au kuzikumbuka? Wema usizidi uwezo anapiga mishe kwa ajili ya life lakini anaongoza na kutekeleza majukumu ya uongozi kwa ajili ya wananchi wake.

Je unataka awe selfish na asifanye majukumu yake kwa cirlc yake na anaowapenda? Kisa eti wew utamwonaje? Ukiachilia mbali uongozi pia ana maisha binafsi na majukum yake pia . Kama ulisaidia kutafuta hizo pesa mpangie na majukum na limitations otherwise hizo akili nyingi ulizo nazo kumpangia mipaka zitumie wewe ku make pesa na fanya yale aliyoshndwa kuyafanya
Naamini sehemu kubwa ya pesa anazopata ni kupitia dhamana aliyopewa na Wanajamii wake...hivyo kuwalipa kwa kula kuku kwa mrija na kuwaita waje dirishani kushuhudia ni akili a mtu ambaye hajapevuka....na hastahili kuwa kiongozi.

Musa alitembea na kuteseka na Wanaisrael, unadhani Mungu alishindwa kumpa Musa uwezo wa kukwepa zile adha?

Uongozi ni wito na kujitoa muhanga, hebu tusitetee mapungufu ya viongozi.
 
Hivi watu hamtofautishi maisha binafsi na uongozi ina maana viongozi hawaruhusiwi kuwazawadia wake zao vitu vizuri kwani sugu ndio wa kwanza kufanya hivyo mbona viongozi wakubwa wa nchii wake zao wanatembelea harmar shoping ulaya matibabu ulaya hayo hamjayaona msiwe wavivu wa kufikiria ya sugu ni ya kawaida sana maana hata nae pia ni kidume mlitaka ampe baiskeli ?mi naona hata baiskeli mngesema tu maana midomo yetu hailipii vat .Sio kana kwamba sugu hatekelezi majukumu na ahadi anatekeleza sana tu .
 
Ndio maana huwa sipendi kuwa Mwanasiasa, hata kama ukiwa na hela zinazotokana na Shughuli zako binafsi ukifanya mambo ya kibinafsi bado tu wapiga kura wako watasema tu...
Tujifunze kutofautisha kati ya maisha ya kisiasa na maisha binafsi..
Kwa hapa haya ni maisha binafsi ya Sugu.

Naimani mleta mada ni Mwanaume wa Dar..


Watu wengine wanapenda kufanya life ionekane ngumu kweli.Sasa kwenye hiyo picha sijaona ubaya wowote ila watu wanataka kuleta complications tu.
 
ila hichi kivazi kinaendana na rais wa marekani au sio ??

tdy_tren_mobama_131120.today-inline-vid-featured-desktop.jpg
Kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri, hao wanaovaa kiheshima kila siku suti na tai wameliletea nini taifa hili
 
Sidhani kama Sugu anajua maana ya kuwa kiongozi...hizi show off zinafanywa na Wasanii, Wanamichezo au Wanajamii wengine lakini sio mtu aliyesimama jukwaani na kuiaminisha jamii yake kuwa amekuja kuwatumikia alafu yeye anaishi sayari nyingine.

Huku ni sawa na wanao wanakupigia simu wana njaa nyumbani baba unatuma picha upo Kempinski unafanya party ya birthday.

Mi nilidhani uongozi ni kujinyima....

Kule Nertheland Waziri anatumia baiskeli huku kwetu Mbunge anagawa zawadi ya Gari kwa girlfriend.
Ulitaka afiche mali zake kama viongoz wako wa serikali ambao baada ya muda taarifa zao huwa zinavuja wamejineemesha kwa mikataba ya kifisad
 
Ni vizuri tu wanasema moyo ukipenda hula nyama mbichi ila ange mkumbuka hata yule bwana mdogo Mr.Blue japo kwa kazawadi tu kwa ajili ya Harusi yake.
 
Kajinunulia mwenyewe Ila anataka kujifanya kanunuliwa an sugu..yeye ndio anamuhonga sugu, sugu huwa hatoi hela kwa mwanamke hata iwaje,. Huyo dada ndio anagharamia vitu vingi vya sugu,. Wema wanna be,sioni tofauti yake na faiza angekuwa mstaarabu asingekuwa anamtukana faiza kwa account fake..like faiza like happy. Ziro brain.
 
Ripoti kutoka mitandaoni zinasema kuwa Muheshimiwa Mbunge Sugu Amemzawadia Gari aiana ya Toyota Lexus kama zawadi ya siku ya kuzaliwa kwa mpenzi wake ajulikanae kama Happiness, Sugu na mpenzi wake huyo mpya wamekuwa gumzo mitandaoni hasa baada ya aliyekuwa mpenzi wa Sugu wa zamani Faiza Ally kusema bado anampenda Sugu....Wadau wengi tunasubiri kuona Faiza atasema nini kuhusu hilo kwani amekuwa sio mvumilivu wa kukaa kimya kinapokuja suala la SuguView attachment 343819
Faiza wa sugu anakaribia kujinyonga
Hakawii kwenda studio na pampas kulalamika[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Back
Top Bottom