Sugu amnunulia mpenzi wake gari la kifahari!!

Sugu amnunulia mpenzi wake gari la kifahari!!

Kajinunulia mwenyewe Ila anataka kujifanya kanunuliwa an sugu..yeye ndio anamuhonga sugu, sugu huwa hatoi hela kwa mwanamke hata iwaje,. Huyo dada ndio anagharamia vitu vingi vya sugu,. Wema wanna be,sioni tofauti yake na faiza angekuwa mstaarabu asingekuwa anamtukana faiza kwa account fake..like faiza like happy. Ziro brain.

Kwani yeye mwanamke anafanya kazi gani mpaka aweze kumhonga sugu?
 
Ripoti kutoka mitandaoni zinasema kuwa Muheshimiwa Mbunge Sugu Amemzawadia Gari aiana ya Toyota Lexus kama zawadi ya siku ya kuzaliwa kwa mpenzi wake ajulikanae kama Happiness, Sugu na mpenzi wake huyo mpya wamekuwa gumzo mitandaoni hasa baada ya aliyekuwa mpenzi wa Sugu wa zamani Faiza Ally kusema bado anampenda Sugu....Wadau wengi tunasubiri kuona Faiza atasema nini kuhusu hilo kwani amekuwa sio mvumilivu wa kukaa kimya kinapokuja suala la SuguView attachment 343819
HUYU SUGU HARUDI TENA BUNGENI...NDIO ANAJIPANGA NA KUCHUKUA VYAKE.. ANAJENGA HOTELI YA KIFAHARI.. ANANUNULIA MADEMU MAGARI... KWA SPEED YA MAGUFULI UCHAGUZI UJAO LAZIMA WAZISOME NAMBA HAWA WAJAMAA WA VIDOLE VIDOLE VIWILI NA WAZUNGUSHA MIKONO....HAHA JOKE!!!!
 
Sidhani kama Sugu anajua maana ya kuwa kiongozi...hizi show off zinafanywa na Wasanii, Wanamichezo au Wanajamii wengine lakini sio mtu aliyesimama jukwaani na kuiaminisha jamii yake kuwa amekuja kuwatumikia alafu yeye anaishi sayari nyingine.

Huku ni sawa na wanao wanakupigia simu wana njaa nyumbani baba unatuma picha upo Kempinski unafanya party ya birthday.

Mi nilidhani uongozi ni kujinyima....

Kule Nertheland Waziri anatumia baiskeli huku kwetu Mbunge anagawa zawadi ya Gari kwa girlfriend.
Wivu, kazi ya mbunge sio kulisha wana jimbo lake bali ni kuisimamia serikali iweze kutimiza ahadi za kuwapa maendeleo wananchi wake, kama ni kulisha jimbo JK na Ridhiwani wamebadilisha nini pale chalinze? Hata dawati tu la mwanafunzi ni shida, Muacheni Sugu aishi maisha yake . "SUGU MOTO CHINI".
 
Sidhani kama Sugu anajua maana ya kuwa kiongozi...hizi show off zinafanywa na Wasanii, Wanamichezo au Wanajamii wengine lakini sio mtu aliyesimama jukwaani na kuiaminisha jamii yake kuwa amekuja kuwatumikia alafu yeye anaishi sayari nyingine.

Huku ni sawa na wanao wanakupigia simu wana njaa nyumbani baba unatuma picha upo Kempinski unafanya party ya birthday.

Mi nilidhani uongozi ni kujinyima....

Kule Nertheland Waziri anatumia baiskeli huku kwetu Mbunge anagawa zawadi ya Gari kwa girlfriend.

Bora huyu anatoa pesa mfukoni mwake.. Yule mcharuko aliyepita alikuwa anazawadia vimada ukuu wa wilaya na mkoa..
 
HUYU SUGU HARUDI TENA BUNGENI...NDIO ANAJIPANGA NA KUCHUKUA VYAKE.. ANAJENGA HOTELI YA KIFAHARI.. ANANUNULIA MADEMU MAGARI... KWA SPEED YA MAGUFULI UCHAGUZI UJAO LAZIMA WAZISOME NAMBA HAWA WAJAMAA WA VIDOLE VIDOLE VIWILI NA WAZUNGUSHA MIKONO....HAHA JOKE!!!!
Hata awamu iliyopita mlisema hivyo hivyo lakini sasa ndie mbunge aliepata kura nyingi kuliko wabunge wote, na kama ingekuwa wingi wa kura ndio kuongoza bunge leo Sugu ndio angekuwa spika wa bunge, kusema kuwa kasi ya Magufuli haitamrudisha bungeni kwani magufuli anashindana mbio na mbunge akimshinda ndio anakuwa mmbunge? Huyu ndio chaguo la watu wa Mbeya we kaa hapo kusubiri alinacha mwinzio ndio huyu unaendelea kumuhesabia mafanikio.
 
Afadhali sasa kachukua mbantu, wale point 5 huwa wana matatizo sana kichwani.
 
Kivazi hakiendani na mbunge
ni vali la usiku kwenye party, hakuwa ofisini wala kanisani au msikitini alivaa vazi linaloendana na wakati huo wa sherehe za kuzaliwa ambazo kwa mazingira ya hiyo picha ilikuwa ni siku
 
Wivu, kazi ya mbunge sio kulisha wana jimbo lake bali ni kuisimamia serikali iweze kutimiza ahadi za kuwapa maendeleo wananchi wake, kama ni kulisha jimbo JK na Ridhiwani wamebadilisha nini pale chalinze? Hata dawati tu la mwanafunzi ni shida, Muacheni Sugu aishi maisha yake . "SUGU MOTO CHINI".
Hapo unatetea utapeli...hawa watu ukiwakuta wanavyoomba kura, wanavyobembeleza na kupiga magoti ili tu kuwaaminisha wenzao kuwa wataishi dunia moja.
 
Hapo unatetea utapeli...hawa watu ukiwakuta wanavyoomba kura, wanavyobembeleza na kupiga magoti ili tu kuwaaminisha wenzao kuwa wataishi dunia moja.
Sitetei ila sugu hajala hela za mfuko wa jimbo, wananchi wanapata huduma kawa kawaida, hivi wakati ule JK alivyokuwa anaenda nje ya nchi kubembea, mbona hamkulisema kama hili la sugu? Nchi hii haina bembea? Au alimaliza matatizo yetu ndio akaenda kubembea? Acheni viongozi waishi maisha yao binafsi, watu wana miradi yao na maisha yao lazima yaende, ina maana sugu kaanza kununua gari baada ya kuwa mbunge?
 
e
wivu wa kike umewajaa mpaka kwenye makalio yenu. tafuteni vyenu NYOOOOOOOOOOO!!! Msyyuuuuuuuuuuu!!!
hii speed ya magufuli inawachanganya akili wengi.... wewe ni muosha makalio ya sugu kuanzia 2021 kibarua chako kitaota nyasi.. badala ya kuosha makalio utaishia kupumuliwa kwa juu maaani nazz
 
Hata awamu iliyopita mlisema hivyo hivyo lakini sasa ndie mbunge aliepata kura nyingi kuliko wabunge wote, na kama ingekuwa wingi wa kura ndio kuongoza bunge leo Sugu ndio angekuwa spika wa bunge, kusema kuwa kasi ya Magufuli haitamrudisha bungeni kwani magufuli anashindana mbio na mbunge akimshinda ndio anakuwa mmbunge? Huyu ndio chaguo la watu wa Mbeya we kaa hapo kusubiri alinacha mwinzio ndio huyu unaendelea kumuhesabia mafanikio.
tofautisha awamu ya mkwere na hii ya tingatinga...kwa sasa jamaa hawana hoja kabisa.. also kwa kasi ya tingatinga akija kumnadi mbunge wa chama chake ni vigumu wananchi kumnyima kura.. ujue uchaguzi ujao tingatinga ataingia kwenye mbio za uchaguzi akiwa mwenyekiti wa chama so chama kitakua kisafi kabisa.. kifupi huyu jamaa na chama chake watasafishwa wote.. labda kidogo pale kaskazini wanaweza kuambulia viti viwili wakipendelewa saaana..
 
tofautisha awamu ya mkwere na hii ya tingatinga...kwa sasa jamaa hawana hoja kabisa.. also kwa kasi ya tingatinga akija kumnadi mbunge wa chama chake ni vigumu wananchi kumnyima kura.. ujue uchaguzi ujao tingatinga ataingia kwenye mbio za uchaguzi akiwa mwenyekiti wa chama so chama kitakua kisafi kabisa.. kifupi huyu jamaa na chama chake watasafishwa wote.. labda kidogo pale kaskazini wanaweza kuambulia viti viwili wakipendelewa saaana..
Acha kusemea mioyo ya watu, hivi unajua kuna watu ambao hawajaona la kuwafanya waamini hilo tinga tinga? Usifikiri kila mtu ana mtazamo ka wako.
 
e

hii speed ya magufuli inawachanganya akili wengi.... wewe ni muosha makalio ya sugu kuanzia 2021 kibarua chako kitaota nyasi.. badala ya kuosha makalio utaishia kupumuliwa kwa juu maaani nazz
manin....aaaa mmejistukia kuwa kazi yenyu kuchungulia mambo ya walionacho. hii ndo tabu ya maskini akikujua kidogo tu.
SHEEEEDDDAAAHHHH!!!
 
Back
Top Bottom