Sugu amuonya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Benno Mallisa

Sugu amuonya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Benno Mallisa

CHADEMA hamjawahi kukua na kukomaa akili zenu.ninyi kila kitu ni kulia lia tu kama debe tupu .hata hivyo habari ni kuwa sugu asahua kabisa habari za kuwa mbunge wa Mbeya mjini.afute kabisa katika akili yake wazo hilo .jimbo la Mbeya haliwezi kuongozwa kihuni huni kama alivyo fanya kwa miaka kumi aliyopewa .

Kwa sasa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ndiye aliyepewa hayo miliki ya umiliki wa jimbo la Mbeya mjini mpaka atakapotaka kuachia mwenyewe kwenda kugombea nafasi za juu huko.
Mpumbavu kama wewe tunakupuuza tu.
 
Back
Top Bottom