Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Wewe endelea kufaidi uchawa , kapuku we !Hako kagesti sugu anakomiliki kanampa kiburi sana
Haha jamaa anajiona bonge la taita kumbe Kuna vijana wa 90 wanamjengea hivyo vibanda miezi 6
Kama unajua hesabu huwezi kuuliza swali hiloKipimo cha wingi wa maandamano ni watu wangapi?
Mpumbavu kama wewe tunakupuuza tu.CHADEMA hamjawahi kukua na kukomaa akili zenu.ninyi kila kitu ni kulia lia tu kama debe tupu .hata hivyo habari ni kuwa sugu asahua kabisa habari za kuwa mbunge wa Mbeya mjini.afute kabisa katika akili yake wazo hilo .jimbo la Mbeya haliwezi kuongozwa kihuni huni kama alivyo fanya kwa miaka kumi aliyopewa .
Kwa sasa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ndiye aliyepewa hayo miliki ya umiliki wa jimbo la Mbeya mjini mpaka atakapotaka kuachia mwenyewe kwenda kugombea nafasi za juu huko.
Laana ya kumuua Thadei Ole Mushi itakuandama hadi siku unakufaMaandamano yamebuma mnaanza kumsingizia Mangi Beno
Damu ya Thadei Ole Mushi inakulilia muuaji mkubwa weweHako kagesti sugu anakomiliki kanampa kiburi sana
Haha jamaa anajiona bonge la taita kumbe Kuna vijana wa 90 wanamjengea hivyo vibanda miezi 6
DaaaahDamu ya Thadei Ole Mushi inakulilia muuaji mkubwa wewe