Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama hujui, kwa taarifa yako hiyo phrase ni ya kibaguzi.Mazungumzo yake na Wazungu
Darasa la saba pamoja na Erythrocyte wakeHivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Acha kutuganyana, kama uwezo wako kufikiri sawa na Sugu sema.Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki
View attachment 2938598
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
View attachment 2938599
Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .
Sugu Mkombozi wa wakulima
Umeshaita wazungu hapo hskuna kitu walipita kujibanza pale hotelini unatulitea mauza uza ya stori!Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki
View attachment 2938598
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
View attachment 2938599
Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .
Sugu Mkombozi wa wakulima
Wona video juu☝️👀Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Kama ni kweli hongera zake aanze kununua sasa sababu yeye ndie anajua hilo sokoMazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
Sugu alipomaliza Advance akaanza mziki..Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Tupate quantities zinazohitajika, bei zake CIF Instanbul, vipimo vya ubora, lini maharage yanahitajika.Umeshaita wazungu hapo hskuna kitu walipita kujibanza pale hotelini unatulitea mauza uza ya stori!
Hongera sana suguMbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki
View attachment 2938598
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
View attachment 2938599
Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .
Sugu Mkombozi wa wakulima
Advance amesoma mwaka gani wewe? . Waliofika mpaka Kidato cha sita ni kina Prof J, Solo thang na baadhi yao.Sugu alipomaliza Advance akaanza mziki..
Na hizi ndo album zake..
iLipofika mwaka 2010 akagombea ubunge..
- Ni Mimi (1995)
- Ndani ya Bongo (1996)
- Niite Mister II (1998)
- Nje ya Bongo (1999)
- Millennium (2000)
- Muziki na Maisha (2001)
- Itikadi (2002)
- Sugu (2004)
- Coming of Age-Ujio Wa Umri (2006)
- VETO (2009)
- Antivirus Mixtapes (HII ILIKUWA KIPINDI CHA BIFU NA RUGE)