Pre GE2025 Sugu apumua, Lucas Mwashambwa hatagombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini aamua kumwachia Dr Tulia aendelee kuleta Maendeleo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Palikuwepo wasiwasi Kwamba Mwanasiasa Maarufu Kanda ya Nyasa Lucas Mwashambwa atachukua form za kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini.

Uvumi huo ulimfanya mbunge wa zamani Joseph Mbilinyi (Sugu) Kupata mchecheto kwani anamuhofia Zaidi Lucas kuliko Dr Tulia.

Hata hivyo Lucas amesema yeye hana nia ya kugombea Ubunge na amejielekeza katika kuhakikisha DrTulia anashinda 2025.

Nawatakia Sabato Njema πŸ˜„πŸ˜„
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
........watabubujika machoziii furaha....mama atoshas
 
Ni wakati wa kuhakikisha Dr Tulia Ackson Mwansasu anashinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima na kuendelea na Urais wa IPU.Mbeya chini ya Dkt Tulia ni Tulivu na imetulia na kuchanja Mbuga kwa miradi ya maendeleo
 
I just bubujikwa with joy of tears β€œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyu yu kiboko ya Makamanda hapa Jf πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯πŸ˜‚
Kiboko tena? Kiboko yule alienawasema watawala , ikipita gari tu dirishani mikojo inamtoka , halali lkn huyu sawa na Msigwa kwa sasa, wakilala wanakoroma mpaka asubuhi
 
Huyu shetani labda agombee UWT pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…