Sugu asanda, aipromoti Clouds na leo ataunguruma Clouds 360

Sugu asanda, aipromoti Clouds na leo ataunguruma Clouds 360

Wasanii wetu wakitaka wakue zaidi na kusimama kimuziki wanahitaji media, na media ili zikue na kusimama zaidi zahitaji uwepo na ushirikiano na wanamuziki
 
Maujanja saplyaz hawana akili na hawako creative, siwaonei huruma.
Namuonea huruma ADILI, yuko multi talented, rapper, producer, movie director etc
KAZI zake zinabaniwa kwa sababu tu ni kinega
Clouds hawana tena jeuri ya kumshusha mtu kwa sasa. Game ilisha-change.
 
Clouds hawana tena jeuri ya kumshusha mtu kwa sasa. Game ilisha-change.
Ni kweli mkuu,tena si kwa clouds tu hata kwa Radio na Tv zingine hiko kitu hakiwezekani, labda iwe kolabo la vituo vingi lakini si kwa bifu ya kituo kimoja iweze kumshusha msanii hiyo haiwezekani. Tena kwa hawa wasanii wenye majina ndio hawawezi kabisa.
 
Baada ya vita Vya muda mrefu ya Clouds Media Group na Joseph May Mbilinyi a.k.a Mr. Sugu hatimaye Leo Clouds TV wanapiga wimbo wake na yuko studio live kwa ajili ya interview.
Updates zitaendelea kudondoka kama risasi za rasharasha
Wewe si mfatiliaji wa habari za burudani pengine huo wimbo si mara ya kwanza kupigwa hapo hata siku ulipo tokea mkanganyiko na Mr Blue ulipigwa!

Hao walishapatanishwa muda mrefu na hakuna beef kati yao na wamekuwa wakimuongelea Sugu sana tuu kwenye radio!

NB Ni furaha watu wakipatana!
 
Wamarekani wao wana msemo wao Usemao, "Marekani haina adui wala rafiki wa kudumu bali ina maslahi ya kudumu"
 
Si ajabu nilisikia jingle ya mashindano ya u-dj kwa jiji la DSM ikitumia beat ya wimbo Wa Dar DSM Wa Sugu. Nimeelewa sasa.
 
"Mimi Sioni kama ina faida kwa sababu zinamfanya mmoja lazima apotee. Mimi nataka wote wanyanyuke.”ktk vitu vyote alivyo ongea sugu hii point nimeipenda timu hizi sio nzuri, nazani kama umefuatialia mpaka sasa unajua nani ana hali mbaya, ila anajikaza aonekane yupo.kama wange kaa chini waya malize sasa hivi international level tungekuwa na watu wawili wa uhakika, ila kila siku ni yule yule.
 
Wewe si mfatiliaji wa habari za burudani pengine huo wimbo si mara ya kwanza kupigwa hapo hata siku ulipo tokea mkanganyiko na Mr Blue ulipigwa!

Hao walishapatanishwa muda mrefu na hakuna beef kati yao na wamekuwa wakimuongelea Sugu sana tuu kwenye radio!

NB Ni furaha watu wakipatana!
Clouds media wanamuongelea sugu kipindi ambacho radio yao imeshuka.

hivo basi positive au negative impact toka kwao kwa sasa si kubwa kama ingekuwa wakati ule ilipokuwa kwenye kilele cha ubora.
 
That's how real men do! Claud's walijaribu kupambana na sugu mwisho wa siku wakajikuta wanatwanga maji kwenye kinu.
Sugu is extra miles away,he is unstoppable,ni Mbunge aliyepigiwa Kura nyingi zaid.he has build his political empire,pamoja na kupondwa humu jf kwamba Ana elimu ndogo.
So Claud's wametumia ule usemi usemao,if you cant beat them join them.
 
Back
Top Bottom