ALFA OMEGA
Member
- Feb 9, 2014
- 20
- 51
picha ya mavazi iliyotumika kama kielelezo kumbe ni ya beach,sasa kila weekend pale coco beach wamama wangapi na watoto wanavaa nguo za ufukweni?,
ama tuseme wale wadada wa usiku kuanzia hukumu ya huyu hakimu mla rushwa,hawatakiwi kuwa na watoto,ju wanavaa vimini vya hatari?
the law of marriage Act,provides for custody and maintainance of children,S.125(1) of the Act clearly states clearly power of the court to make order for custody 'at any time' ,it further states rebuttable presumption that it is good of an infant below 7 yrs to be with his or her mother as applicable to facts of any particulars case,hence under that view with regards to Faiza's behaviour as proved by hon.sugu before the court its true that your claims are baseless and unreasonable due to the fact that there is no requirement of time to determine the trial court bound to,therefore stop directing your complains straight to the court of law.
we binti mimi ni me bana,kwani huoni arguments za huyo mange zinamake sense at least.
aafu ndo kusema humu jf hakuna umbea eeh?
Upumbavu huu. Mleta mada habari kama hizi bakini nazo huko kwenye vi blog vyenu vya umbea na ufuska. Utamaduni wetu hauko hivyo, acha sheria ifuate mkondo wake. Acheni kutetea ujinga kwa kisingizio cha haki za wanawake. Haki zenu ni kutembea makalio wazi au? By the way, mambo ya Sugu aachiwe yeye na huyo mzazi mwenzie. Sheria ziko wazi kuhusu malezi ya watoto. Mtoto ni wa jamhuri!
Watanzania mnanikera kushinda mnadiscuss upumbavu wakati tuna mambo ya muhimu. Sioni sababu ya kutetea upumbavu wa huyu mwanamke.
halafu huyu sugu ikitokea bahati mbaya ndo atakuwa waziri wetu wa utamaduni wanawake na watoto,wakati kumbe anawatumia na kuwaacha mabinti kama hana akili nzuri.
hataki kutake responsibility kwa mtoto,
Daa...
Nlishaongea hivi huyu dada anafikiria kizazi chake kweli na mambo anayofanya...
Sasa yale yale yamemkuta maana alikua haoni afanyalo mtoto ataaaibika mbele wenye akili wameliona wamelifanyia kazi...
Tena anyamaze kabisa km kiqkili yupo sawa...
in red: Haina mshiko* Ishu sio mavazi tu...grounds za Sugu zilikuwa nne:
* Kuvaa mavazi ya nusu utupu, kupiga picha za nusu uchi na kuyatupia mtandaoni...
* Kumpiga mtoto picha mbaya ya kuyatupia humohumo mtandaoni...
* Kusafiri mda mrefu na kuwa mbali na mtoto...
* Kutokuwa na kipato cha kuweza kumlea mtoto...
Faiza amehojiwa na wanaharakati na hizi ni hoja zake:
1.kwamba sugu nae hafai kuwa baba kwasababu ni mvuta bangi (hili wana hip hop wenzake mtasaidia)
2. Sugu si mkaaji nyumbani so mtoto ataishi kwa bibi au mama sugu. Hapa kuna madogo ambao wamekuwa wakimlala Dada Wa kazi kwa mpigo kiasi kwamba baba hajulikani kati yao. Hivyo pia si salama kwa ustawi Wa mototo.
3.Kwamba home kwa sugu daily kunaingia Dada poa. Hili pia si salama kwa makuzi ya mtoto.
4. Toka waachane sugu hajawahi toa matumizi ya mtoto na hata shule hajui mtoto alikuwa anasoma shule gani. Faiza anahoji Inakuwaje baba Wa namna hii asiyejali mtoto akabidhiwe mtoto ambae hamjali?
5. Kama kigezo ni mavazi tu basi amekubali atajirekebisha.
6. Kwamba swala hili limeibuka wakati mh. Sugu alipoombwa child support.
7. Kwamba hata ujauzito Wa Sasha sugu alitaka utolewe ila faiza alikataa baada ya sugu kuwa amempa mimba tatu mwanzo ambazo zote alilazimisha zitolewe.
8. Kwamba sugu ni mdhalilishaji (m...la...w...i...tiiiiii) Wa wanawake (mifano IPO. MF. Shy rose, binti Wa Sweden, faiza n.k). Sasa baba mdhalilishaji anawezaje kuwa mlezi bora.
Duhh kama usemayo faiza ni kweli basi huyu mtoto mpelekeni pale SOS mawasiliano akalelewe pale. Manake kila mahali ni moto.
Hiyo nyongeza mkuu kijengewa hoja ya msingi inapita though nakubaliana na wewein red: Haina mshiko
katafuta umaarufu wee, haya sasa kaupata, atembee vitako nje tena
Siasa pembeni, namuunga mkono Sugu kwa uamuzi wake wa kwenda mahakamani juu ya hili.
Ni wazi kuwa Mama huyo hana uwezo wa kumlea mtoto katika maadili, mahakama imefanya uamuzi sahihi kwa faida ya mtoto.
Big up sugu.
endeleeni kutetea upuuzi,hapa kaandika kamiss SEX
Haaaaaaa huyu Faiza muda mwinginee