Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

Status
Not open for further replies.
Kumbe hajapata 'mzizi' muda mrefu ndio maana anakuwa vile.....atakuwa anakimbiwa na wanaume kwakuwa wakimaliza tu ku'do' bishosti atakuwa tayari ashapost

Haaaaaa ni shida na ka hujafanya vizuri waweza shangaa ana kupost
 
tatizo generation ya sasa wana tatizo la Diminishing brain capacity,ina maana huoni kuwa hiyo ni copy &paste hapo juu?

Kamwambie apunguze hizo uuuwiii....maana umeleta habari kama bush-lawyer wake mkuuπŸ˜€πŸ˜€:beer:
 
Hayo mavazi anavaa Jukwaani akiwa kwenye shughuli zake au hata akiwa nyumbani? Na Jose hakuliona hilo mwanzoni mpaka alipodaiwa kodi ya nyumba? Hata niachane na mke wangu siwezi mpeleka akaishi na Mama wa kambo. Hata mama wa kambo awe na huruma kiasi gani. Labda akalelewe na bibi zake.
 
1. Sijaelewa hapo faiza anaposema mheshimiwa hajui shule anayosoma mtoto. Ina maana huyo mtoto wa miaka miwili tayari ameshaanza shule..?
2. Utetezi wa faiza unaonekana ni kutaka "kumwaga ugali" maana haumuweki yeye (faiza) katika nafasi nzuri ya kupewa huyo mtoto. Anachojaribu kuonyesha ni kwamba wote wawili hawafai kumlea mtoto.
3. Japo sugu nae anaweza kuwa na matatizo yake, lakini angalau ameonesha kuwa yuko concerned na welfare ya mtoto, kitu ambacho faiza hajafanya. Mfano anaposema sugu hatoi matunzo, kwanini hakuwahi kumshitaki?
 
Kamwambie apunguze hizo uuuwiii....maana umeleta habari kama bush-lawyer wake mkuuπŸ˜€πŸ˜€:beer:

sijaleta kama bushlawyer,nimependa jinsi sugu alivyochanwa,jitu limejaa dharau,majigambo,ufedhuli,majidai,ufukungu etc,anataka custody ya mtoto,sijui atakua anatembea nae mgongoni ama atatafuta mtu wa kumlea,na sijui mahakama imedetermine vipi huyo atakaemlea mtoto anafaa zaidi ya mamake mtoto.
 


Nishaona humu ndani mpo wengi wa Dizain Hii, we unaona njia bora ya wazazi kutatua matatizo yao kuhusu mtoto ni kushitakiana????
Mi ninachoona Sugu kamkomoa mwenzake Ila sidhani kama anamapenz ya dhati kwa mtoto...
Angalia hapo kuna sehem Faiza anasema kashatoa 3 za mheshimiwa hii akagoma kutoa unajenga picha gani?
Tena mtoto wa kike kwenda kwa baba kwa umri ule!!!!
 

Kumbe kufanya mwanamke nyuma ni jambo la kawaida?
 

Pamoja na sifa ulozompatia huyo baba wa mtoto....Je zinampa nafasi ya mama mtoto kuishi na kulea mtoto kwa namna hiyo?Mkuu naomba tupishane.Siwezi kumtetea huyo immature mama.Adhabu hii iwe funzo kwa wengine wanaopewa kiburi wakisikia kuwa ni "lazima" wawatunze watoto hadi wafikishe miaka saba.
 

Mama wa kambo ni, mama mimi naye twapendana......... ....Nilelewa vizuri wazazi walinipenda...
 

Ishu hapa siyo mavazi... Faiza alipewa muda wa kujitetea? Aliitwa kwa kesi ya madai kufika akakutana na ishu ya kunyang'anywa mtoto hii iko sawa? Kwa nini hawakumpa muda? Sugu ana sifa gani za kuitwa baba? Ikiwa hata hajui mtoto anakula nini na anasoma wapi ameshindwa kumuhudumia mtoto kipindi chote hicho na hiyo mahakama hawakuliona hilo wakakurupuka tu kumnyang'anya faiza mtoto. Kisa kaombwa kuchangia kodi ya nyumba. Lol kanichefua sana huyu sugu.
 

tatizo inaonekana ni huyo mwanamke jinsi anavyovaa,hasa akiwa katika mitoko yake,nae kadai kama tatizo ni mavazi atajirekebisha,which means kulikua na possibility ya out of court settlement,
mwanadada angeanza kuvaa sketi ndefu na sugu angetake responsbility ya child support.
problem solved.
 

Too late to cry for her.Ila mkatieni rufaa mkuu😎😎
 
Mtoto bado mdogo sana miaka miwili umpokonye mama yake,huyu faiza kabeba mimba miezi tisa kazaa kwa uchungu,kanyonyesha. Pia watu wengi wanaomuhukumu wanamjua kupitia picha za mavazi yake na wakati yuko na sugu alikuwa akivaa aina hzo za mavaz iweje leo ndo sugu aonyeshe kujal baada ya kuambiwa achangie pesa za matumizi?huyo faiza angepewa onyo kwanza tuone kama angebadilika. Mbona faiza kalelewa kwenye familia yenye maadili ya kuvaa na hayuko hivyo???Jaman mama wa kambo sio kwa mtt mdogo kias hiko kama yatima
 

hako katoto katakuwa katika hatari ya kudhalilishwa kijinsia,kama ni kweli pale kwa sugu ,wadogo zake wanamlala housegirl kwa zamu hadi kumpachika ujauzito.
mimi namshauri huyo binti hakuna cha kutoa mtoto,mahakama haikumsaidia kipindi anahangaika kulea mimba na akiwaanajifungua.
 

mahakamani wanataka ushahidi sio madai, kama alijipiga wakati picha wakati anatoa mimba, basi azipeleke, kimbembe kitakuja kwenye kujua kama hizo mimba zilikua za sugu..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…