Faiza bwana, wewe neno mama yako naona rahisi sana kulitamka. Ukitukana siku zote huwa ni mama yako, mfano mbaya kwako ni mama yako, kila jambo hasi unalotaka kumjibu mwana JF aliyekukera wewe ni mama yako. Una tatizo gani wewe? Au mama yako alikutupa jalalani au kukutelekeza nini ulipozaliwa, hivyo kukufanya uwe na issue za kisaikolojia na mama za wengine?
BOra alivyopokonywa mtoto, yule mwanamke hana akili, anataka kumdhalilisha sugu, niliwahi kumsikia kwenye interview ya zamaradi yani hamna kitu, akili hana kbisa
Ishu hapa siyo mavazi... Faiza alipewa muda wa kujitetea?
Aliitwa kwa kesi ya madai kufika akakutana na ishu ya kunyang'anywa mtoto hii iko sawa?
Kwa nini hawakumpa muda?
Sugu ana sifa gani za kuitwa baba?
Ikiwa hata hajui mtoto anakula nini na anasoma wapi ameshindwa kumuhudumia mtoto kipindi chote hicho na hiyo mahakama hawakuliona hilo wakakurupuka tu kumnyang'anya faiza mtoto. Kisa kaombwa kuchangia kodi ya nyumba. Lol kanichefua sana huyu sugu.
Hahahahaaaaaa nmekupa homework mkuu katafute majibu✋
Hata mimi mwanzo hili jina Faiza limenishtua sana kwani japo sikufahamu sitegemei kama unaweza kufanya vituko anavyofanya huyu Faiza. Ni vizuri kama siyo wewe.Vipi wewe? mama'ko alikuokota jalalani?
Kama inavyokuuma wewe kutajiwa mama'ko ukumbuke na sisi ni mama za wengine.
una wasiwasi na mimi kwani we mke wangu?...
talksense man..
Wewe unajua huwa yanapatiwa ufumbuzi ndani ya muda gani kwani?
Na kwani hakimu kafikia maamuzi yake kwa kutumia picha za IG tu?
Hayo ni unayajua au unahisi hisi tu?
Unaongelea sheria iliyorekebishwa. Siku hizi mambo yote kuhusu mtoto yana sheria yake ya mwaka 2009. Law of the Child Act 2008. Cha msingi kwa mujibu wa sheria hiyo inayoakisi mkataba wa kimataifa ni best interest of the child, hivyo kama best interest ni kwa baba basi anapewa alee. Mifano ni mingi na mingine imeshawekwa hapa kwenye uzi huu.the law of marriage Act,provides for custody and maintainance of children,S.125(1) of the Act clearly states clearly power of the court to make order for custody 'at any time' ,it further states rebuttable presumption that it is good of an infant below 7 yrs to be with his or her mother as applicable to facts of any particulars case,hence under that view with regards to Faiza's behaviour as proved by hon.sugu before the court its true that your claims are baseless and unreasonable due to the fact that there is no requirement of time to determine the trial court bound to,therefore stop directing your complains straight to the court of law.
kwanza kile ni kitoto kidogo sana kwangu, nnahisi hata mwanangu wa kwanza ni mkubwa kwa yule.
Pili, hana vigezo.
Kweli usilolijuwa ni usiku wa kiza. Sikulaumu.
una wasiwasi na mimi kwani we mke wangu?...
talksense man..
Ishu hapa siyo mavazi... Faiza alipewa muda wa kujitetea? Aliitwa kwa kesi ya madai kufika akakutana na ishu ya kunyang'anywa mtoto hii iko sawa? Kwa nini hawakumpa muda? Sugu ana sifa gani za kuitwa baba? Ikiwa hata hajui mtoto anakula nini na anasoma wapi ameshindwa kumuhudumia mtoto kipindi chote hicho na hiyo mahakama hawakuliona hilo wakakurupuka tu kumnyang'anya faiza mtoto. Kisa kaombwa kuchangia kodi ya nyumba. Lol kanichefua sana huyu sugu.
nina wasiwasi na wewe yawezekana ulikuwa kipoozeo cha 2proud!hamna lolote wanaume wengi ma sperm donors, hatuna lolote tunataka kuonyesha ubabe wetu kwa wanawake. Unalaumu tabia za mwanamke anavyolea mtoto wako wakati hata kumtembelea huendi wala kumsaidia humsaidii, mama ndiye anajua kula,masomo, mavazi na kuumwa kwake badala ya kufurahi unamkashifu mama hana kipato, wakati tunafahamu kuna watu wengi wana vipato hawalei watoto wao vizuri.
Ukimtizama mtoto wa faiza bila kuambiwa unajua ni mtoto anaelelewa vizuri na kupendwa na mamaake.
Tuache kukomoana bila sababu bila kujijua anaemuia hapa ni mtoto.
Mange ni mnafiki sana huyu mwanamke, yeye kasahau alivyoenda kumbwaga mwanae aliezaa na frank gonga nyumbani kwa mama mzazi wa frank? Mtoto kakaa na babaake miaka 10 yeye ni kujirusha na kufanya umalaya tuu.....frank kamchukua mtoto kwenda kuishi nae Uingereza ndio akastuka na kuanza kulia akaenda ubalozini kumchongea frank ili mtoto arudishwe lkn akashindwa. .....Frank kampa mange mtoto akiwa mkubwa tena kwa sababu ni mtoto wa kike na frank alikuwa anaishi peke yake.
Yaani mange ni anyamaze maana yeye ndio mnafiki namba moja. Atamsaidia nini faiza wkt mtoto wake mwenyewe tu ana mapenzi mazito na babaake kuliko yeye? Shwain kabisa
khahahahaaaa ..... Nipe vigezo mzee mwenzio nijongee ubavuni marashi mazuri chumbani ,udi tujivukize kizani!
abaaaa kunkichoweA kinyumbaniHa ni nke huyo au.? Jitu lenda vitakovye nje kama sando za mtoo.?! Sugu bangi moto ela na kwa faiza sebu.! Lile linkaa ka jenda heka.!