mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Huyu Faiza kwa mavazi yale ni bora Sugu chukua mtoto, ni nini mtoto anajifunza kutoka kwa mama yake kama sio tabia mbaya tu? tunatengeneza taifa la watu wasiokosa maadili kwa style hii ya faiza
@kichunahicho huo upumbavu wenu jadilini hukohuko kwenye blog ya makahaba na instagram.. shwaini wewe
Hii "nguchiro" ninahamu sana ije ijae kwenye 18 zangu. Lazima uandike kitabu kizima siku hiyo, yani hata inachotetea hakionekani zaidi ya kurukaruka kama sindano ya chereani.
Huyu mwanamke aikua akifanya makusudi kumdhalilisha Mbunge, mbona zamani hata kabla yakuzaa hakuwahi kufanya hivyo...Imekula kwake
Kweli majina ya faiza yana sheedaa
nimesoma para chache ila kwa kipindi kifupi nimetambua upumbavu wa wanaomshambulia SUGU ?anamsimamia mtt PERIOOD
SITETEI KWA SABABU NI MWANAUME...
natetea kwa sababu sugu kapeleka hoja mahakamani na kaitetea na kashinda...na ndio maana kila siku kwenye masuala ya kisheria mtuhumiwa huambiwa akae kimya maana anachoongea kinaweza kutumika dhidi yake mahakamani.
NITUMIE FURSA HII kuwashauri "wanawake wengi na wanaume wachache" wanaoendeshwa na emotions badala ya kufuata uhalisia wa mambo na hasa kisheria. muambieni huyo faiza akate rufaa kupinga hukumu ya yeye kunyimwa haki ya kulea mwanae. pia aandae utetezi na ushahidi utakao tumika kuonyesha kuwa yeye ni bora na anafaa zaidi ya mh. sugu kulea huyo mtoto.
kwa mfano....aeleze vyanzo vyake vya mapato ili mahakama imuamini na kumuona anao uwezo wa kumlea mtoto asilale au kufa kwa njaa.
aeleze mahakama kuwa alivyovaa pampas alikuwa anaigiza muvi ambayo bado haijatoka na apeleke mahakamani script za hiyo muvi zikionyesha kuwa actress atavaa pampas na kushoot scene ya birthday.
pia apeleke ushahidi mahakamani kuwa hizo post anazopost kwenye mitandao ya kijamii ni strategy ya marketing na kupata public attention as wamepanga kurelease double dvd siku zijazo...asisahau ushahidi wa hayo waliyoyapanga kupeleka mahakamani kama utetezi.
kuhusu yeye kuja na tuhuma kuwa sugu ni mlevi, mvuta bange mara alimtia mimba sita ya saba ndio hiyo kazaa navyo avipeleke mahakamani na ushahidi pia....kama anazo picha za sugu anapuliza mibhange mpaka nyumba inatoka moshi kama inaungua itamsaidia kushinda kesi.
pia mumshauri akae kimya kwa miezi kama sita aende mahakamani kuomba arejeshewe mtoto sasa amekuwa na kubadilika kitabia...akae kimya kweli na hasa kwenye mitandao na mtaani wawepo mashuhuda kuwa keshabadilika...atarudishiwa mtoto wake.
asanteni kwa kunisikiza nataraji mutamfikishia ujumbe huu "TEAM FAIZA MAJANGA"
👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎
huyu kinachomliza sio mtoto bali mpunga atakaopoteza...mademu dizaini hizi hawagi na machungu ya kimother kiviiile...hapo kila akifikiria hela atakayokosa hapo anatamani ardhi ipasuke..
Halafu kwanza sugu karibia atavuta mkwanja mrefu...230ml. Faiza komaa nawe upate kamgao hapo!ukiongelea vazi tu mkuu naona hapana.... kuna watu wanavaa vizuri lakini hawana ulezi bora kwa watoto wao.... kwa kuangalia mavazi hukumu haijatenda haki... kuna kahali fulani cha kukomoana kipo
Hshahahaah we umeona mbali sana
Huko ustawi wa jamii abebe na hizo picha waone ni jamii gani anataka kuistawisha!Best interest and welfare principle za makuzi na malezi ya mtoto ndizo zinazompiga chini Faiza. Ashauriwe.!! kwenda ustawi wa jamii anaongeza mzunguko. Ustawi wa jamii hawabadilishi maamuzi ya mahakama. Ajipange akate rufaa akiwa na sababu zilizoshiba. Maamuzi haya ya awali yaweze kupinduliwa na Mahakama ya juu. Otherwise atazunguka sana.
ha hahahahaHalafu kwanza sugu karibia atavuta mkwanja mrefu...230ml. Faiza komaa nawe upate kamgao hapo!
ukiangalia hiyo picha sana unaweza toka na maswali mengiMTU na mwanae