Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

Status
Not open for further replies.
Huyu Faiza kwa mavazi yale ni bora Sugu chukua mtoto, ni nini mtoto anajifunza kutoka kwa mama yake kama sio tabia mbaya tu? tunatengeneza taifa la watu wasiokosa maadili kwa style hii ya faiza

niambie kuna huhusiano gani kati mavazi na malezi ya mtoto?,we si ni mwanamke basi mwenzio akinyolewa na wewe tia maji
 
Wapumbavu pekee ndio wanaoweza kumtetea Faiza.
 
@kichunahicho huo upumbavu wenu jadilini hukohuko kwenye blog ya makahaba na instagram.. shwaini wewe

Ona aibu, ushahidi wa picha za Faidha wameutoa huko huko instagram. Hivyo hata wewe kujadili mambo ya instagram unakua baba wa mashwain. Umejuaje kama ni blog ya makahaba, kama siyo mnunuzi basi wewe ni baba la makahaba.
 
Hii "nguchiro" ninahamu sana ije ijae kwenye 18 zangu. Lazima uandike kitabu kizima siku hiyo, yani hata inachotetea hakionekani zaidi ya kurukaruka kama sindano ya chereani.

Uandikwe kule kwa umaarufu wako wa kandambili mwisho wake mlango wa bafuni au? Kule wanaandikwa watu maarufu na mashuhuri. Kati ya mimi niliyecopy na kupest hapa na wewe kuquote comment ndefu hivyo nani anastahili kuwa nguchiro? Kila siku mnakatazwa kuquote maelezo mengi lakini vichwa vigumu kama panzi wala hamuelewi.
 
Wamekutana sugu kichaa mvuta bangi, sugu huyu si aliunda kundi wakatoa nyimbo za matusi ile vita yake binafsi na clouds ,
 
nimesoma para chache ila kwa kipindi kifupi nimetambua upumbavu wa wanaomshambulia SUGU ?anamsimamia mtt PERIOOD

msichukue sides jamani..maswali machache tu ya kujiuliza, Sugu anawatoto wangapi?wako wapi? wameishije? Sugu ana mke mwingne? Nani atamlea mtoto asipokuwepo? Alikuwa akitoa maintainance kwa ajili ya huyo mtoto? ... lazima aonyeshe kwamba yeye ni responsible na huyo mtoto yuko pema mikononi mwake... Mahakama ikimpa mtoto bibi mtu ni bora kuliko wazazi wote wawili
 
SITETEI KWA SABABU NI MWANAUME...

natetea kwa sababu sugu kapeleka hoja mahakamani na kaitetea na kashinda...na ndio maana kila siku kwenye masuala ya kisheria mtuhumiwa huambiwa akae kimya maana anachoongea kinaweza kutumika dhidi yake mahakamani.

NITUMIE FURSA HII kuwashauri "wanawake wengi na wanaume wachache" wanaoendeshwa na emotions badala ya kufuata uhalisia wa mambo na hasa kisheria. muambieni huyo faiza akate rufaa kupinga hukumu ya yeye kunyimwa haki ya kulea mwanae. pia aandae utetezi na ushahidi utakao tumika kuonyesha kuwa yeye ni bora na anafaa zaidi ya mh. sugu kulea huyo mtoto.

kwa mfano....aeleze vyanzo vyake vya mapato ili mahakama imuamini na kumuona anao uwezo wa kumlea mtoto asilale au kufa kwa njaa.

aeleze mahakama kuwa alivyovaa pampas alikuwa anaigiza muvi ambayo bado haijatoka na apeleke mahakamani script za hiyo muvi zikionyesha kuwa actress atavaa pampas na kushoot scene ya birthday.
pia apeleke ushahidi mahakamani kuwa hizo post anazopost kwenye mitandao ya kijamii ni strategy ya marketing na kupata public attention as wamepanga kurelease double dvd siku zijazo...asisahau ushahidi wa hayo waliyoyapanga kupeleka mahakamani kama utetezi.

kuhusu yeye kuja na tuhuma kuwa sugu ni mlevi, mvuta bange mara alimtia mimba sita ya saba ndio hiyo kazaa navyo avipeleke mahakamani na ushahidi pia....kama anazo picha za sugu anapuliza mibhange mpaka nyumba inatoka moshi kama inaungua itamsaidia kushinda kesi.

pia mumshauri akae kimya kwa miezi kama sita aende mahakamani kuomba arejeshewe mtoto sasa amekuwa na kubadilika kitabia...akae kimya kweli na hasa kwenye mitandao na mtaani wawepo mashuhuda kuwa keshabadilika...atarudishiwa mtoto wake.

asanteni kwa kunisikiza nataraji mutamfikishia ujumbe huu "TEAM FAIZA MAJANGA"

Haa haaaa haaaa mkuu unamfundisha akaseme uongo mahakamani???
 
👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎

Mkuu umesahahu ulichotaka kuandika au makusudi tu???
 
Haya Sugu amezungumzia hilo swala bungeni tena baada ya kumsikikiza mimi binafsi nimemuelewa, licha ya kupewa haki ya kuchukua mtoto bado hajafanya hivyo na mtoto yuko kwa mama yake akitegemea pia wakae zaidi na kuangalia jinsi ya kufanya, kwa wale tunaosikiliza upande mmoja na kutoa hukumu si vizuri kufanya hivyo kwakuwa siku zote mtu huegemea upande wake ni vizuri tukiwa na subira, mengine zaid watajuana wakiwa wawili
 
MTU na mwanae
 

Attachments

  • 1435311595733.jpg
    1435311595733.jpg
    47.6 KB · Views: 212
ukiongelea vazi tu mkuu naona hapana.... kuna watu wanavaa vizuri lakini hawana ulezi bora kwa watoto wao.... kwa kuangalia mavazi hukumu haijatenda haki... kuna kahali fulani cha kukomoana kipo
Halafu kwanza sugu karibia atavuta mkwanja mrefu...230ml. Faiza komaa nawe upate kamgao hapo!
 
Best interest and welfare principle za makuzi na malezi ya mtoto ndizo zinazompiga chini Faiza. Ashauriwe.!! kwenda ustawi wa jamii anaongeza mzunguko. Ustawi wa jamii hawabadilishi maamuzi ya mahakama. Ajipange akate rufaa akiwa na sababu zilizoshiba. Maamuzi haya ya awali yaweze kupinduliwa na Mahakama ya juu. Otherwise atazunguka sana.
Huko ustawi wa jamii abebe na hizo picha waone ni jamii gani anataka kuistawisha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom