Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
tuache ushabiki hatujui vizuri inabidi tuangalie mambo yote
Unaweka uamuzi wa kumtunza mtoto wa miaka miwili kutokana na msanii kuvaa vazi na kwenda kwenye show? Mfano kama mwanaume anavuta bangi ndani ya nyumba na kavaa kanzu je lipi mgusa na kumuharibu mtoto zaidi? tuache ushabiki hatujui vizuri inabidi tuangalie mambo yote
Sina mengi ya kusema ila someni hicho alichoandika
Alipata mimba kwa kuf***? Inawezekana? Huyu dada si mzima, ni halali asimlee mtoto. Ukichambua maneno yake utagundua tu katunga kadiri awezavyo ilimradi yawe machafu, Mods plz