Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Ngoja waje wanyakyusa na wasafwaSugu anajua nini uyu aliingia bungeni kwasababu ya upumbavu wa wapiga kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja waje wanyakyusa na wasafwaSugu anajua nini uyu aliingia bungeni kwasababu ya upumbavu wa wapiga kura
🤣🤣🤣🤣 kama naziona vile fly dubai zinavyopishana hapo JNIAMbunge wa Zamani wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu Baada ya kukaa zaidi ya saa 6 pale JNIA akisubiri Ndege ameitaka Serikali iwape Waarabu na ATCL.
Bilionea Sugu amelalamika kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.
=====
View attachment 2648788