Sugu ataka ATCL nayo ibinafsishwe Dubai kwani imeshindwa kutoa Huduma

🤣🤣🤣🤣 kama naziona vile fly dubai zinavyopishana hapo JNIA
 
Ikiwezekana serikali yote ibinafsishwe, tuongeze ufanisi😁
 
Wakishaichukua hyo ATCL waende Mbeya wakaichukue na Desderia Hotel.
 
Ndege imekua kama mwendokasi kusubiria abiria wajae kituoni ndio safari ianze [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…