Sugu atangaza rasmi kumsapoti Jide Ijumaa

Mkuu hiyo kitu zingekuwa zinapatikana kama vocha mbona ingekuwa balaa mi ningeanzia wafu fm!...

 
Sijui kwanini wasihamishie uwanja wa Taifa!..

Sugu kwa hili hajatenda haki, pale nyumbani lounge hapatoshi sehemu ni ndogo sana, mimi nina hamu ya kwenda kuona wakiimba na Jide ile nyimbo ya mambo ya Fedha.
 
Duuuh cant wait to hear the ...BoNGooooo eeeh bongo DAr EsSalaaam...utalialia lia liaaa ndani ya DAR ES salaaaam..kaa chonjoo eeeh ....sugu ft jaydee...enzi hizoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…