ZIPOMPAPOMPA
Member
- Nov 29, 2010
- 50
- 10
... WASE.NGE pamoja na kufoji na kutumia sauti yangu ya miaka mitatu nyuma kwenye tangazo lao la fiesta ili kuwavuruga watu,na kubeba wasanii wote wa bongo wanaowaamini kuja nao mbeya...bado tumewapoteza vibaya...like i didnt warn u about mbeya,muthafu.ckaz...!!!
hapa yuko kisanii zaidi.acha awadis hawa ma.fa.la. Wa claus fm !Alichoandika mr 2 sugu kuhusu fiesta kwenye wall yake ya facebookkama hii ndio chadema school of thought, muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.Mods in jf tunasema "where we dare to talk openly"so please if that is true then msiondoe hii thread.
kaka usijiguse irudishe fasta!kizazi cha sasa ni all or none(0 1) hakuna kuwa vuguvugu .muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.
Sugu saizi ni mbunge anatakiwa kuwa makini hizi kauli za kihuni zitamualibiaAlichoandika mr 2 sugu kuhusu fiesta kwenye wall yake ya facebookkama hii ndio chadema school of thought, muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.Mods in jf tunasema "where we dare to talk openly"so please if that is true then msiondoe hii thread.
zitamuharibia nini na kivipi?Sugu saizi ni mbunge anatakiwa kuwa makini hizi kauli za kihuni zitamualibia
chama cha magamba ndio cha kihuni "usipokubali kuliwa hata kidogo huli sasa we unataka kula hata bila kuliwa haiwezekani" huu ndio uhuni sasaHahahah..kama mambo yenyewe ndio haya mmmh! Halafu utakuta mtu anajiita Great Thinker halafu ana Kadi ya chama cha kihuni kama cha huyu mheshimiwa!!!
what makes u think kuwa maisha ya mtu na siasa lazma ziambatane kila wakati? senator schawznigger (sijui kama nimepatia spelling,sorry) akiwa kwenye movies huko ni full ma-kiss na kutakana akiingia mjengoni ni kazi.kutukanana kwenye fiesta ndo mahali pake huko!
Mkuu, hayo maneno wewe unaona na sawa?zitamuharibia nini na kivipi?
Teh tehe..ni kweli kabisa!hapo alivaa sura ya kiusanii na sio ubunge..haina sghida ni katika kupigania haki za wasanii
Alichoandika mr 2 sugu kuhusu fiesta kwenye wall yake ya facebook
kama hii ndio chadema school of thought, muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.
Mods in jf tunasema "where we dare to talk openly"
so please if that is true then msiondoe hii thread.