MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 843
Hiyo ndiyo lugha sahihi ya mwizi hakuna lugha ya marashi kwa mwizi, mwizi ni mwizi tu
jinsi kibaka anavovishwa tairi na wao walistahili ila kwa kuwa Sugu kuwastahi akawaambia was....
Ningekushauri badala ya kumlaumu Sugu waambie Clouds next time wasitumie tena sauti za
watu bila ridhaa zao wase....... wakubwa kabisa.
Una uhakika gani hawalipi kidi? Mpaka waje kukutangazia kuwa wamelipa kodi kiasi flani? TRA siyo wazembe kama unavyofikirikinachonikera ni kuwa hao waseng,e anaowasema sugu,hawalipi kodi kwa matamasha wanayofanya.
Wahuni wa namna hii ndiyo tunaowataka nchi hii! siyo uhuni wa ngono kama wa ........... Utamalizia mwenyewe ukipenda.Awali nilishasema kuwa chadema ni chama cha wahuni, na mods wakafuta bandiko langu... Sasa angalieni mhuni mbunge huyo!
Lugha aliyotumia imefikisha ujumbe uliotakiwa ndiyo maana wewe uko hapa unatoa mapovu vinginevo ungekuwa na time zako.Kapata faida gani kwa kumwaga matusi facebook? Imewauia hao wezi? Je hao walengwa hata wameona ujumbe? Tuache unafiki kwa kutetea alichofanya hakumsaidii bali kunambomoa. Kulikua hakuna haja ya matusi unaweza tumia maneno ya ukali bila kutukana. SIjui ni nini haswa mnacho tetea hapa???
If Chadema is led by mobsters CCM is led by monstersCHADEMA is led by a mobster Mboye, no wonder the surbodinates copy their prexy's ways. Mboye has yet to enoxerate himself from allegations that he is an infamous marijuana smoker. Imagine in the future having these type of hooligans acting as our ministers, this should never happen during my life time. I am not stupified when I see these 'leaders' coax desperate youths into deluging streets, doing vandalism under the umbrella of peaceful demonstrations.
Wewe kwa kuwa hayakuhusu ndo maana unaona ujinga. Kumbuka ni mara ngapi huwa unatukana unapo udhiwa?Si umeona baada ya kutukana kila mtu amelichukulia swala hili kwa uzito; angeandika lugha ya bungeni nani angechukulia serious?Sugu alitaka kufikisha ujumbe kwa jamii na kweli mmesikia na huu ndo mwanzo wa mapambano yake na hao aliowatukana.Sijapata kuona wabunge wahuni kama Sugu na Lema! hata kama upatani na mtu uwezi kuandika matusi hivyo kama vile mvuta bangi, Sugu angekuwa sio mbunge wala hakuna angaelalamika, mbunge kutoa matusi ni ujinga wa hali ya juu
unataka kujua umuhimu wa lugha aliyotumia??..amefanikiwa kupata attention kubwa ya watu wa rika mbalimbali ivyo mjadala aliouanzisha ambao ndio shabaha yake kubwa utakuwa na wigo mpana zaid na utachukua watu wengi zaidi kuujadiliYani unatala tuanze kudebate whether ni sahihi mtu kutumia maneno kama ******" na "mutha****a"? Are you seriously asking angetumia maneno gani? Watu kama Lissu Bungeni wanatumia lugha ghani? Je Lissu hatetei Watanzania? Je yeye anatumia lugha hiyo? Shida siyo kusemea uovu bali lugha aliyo tumia usitake kuniambia njia sahihi ya kufikisha ujumbe ni matusi. Haya tuambia kumepatikana faida gani kwa yeye kutumia matusi???
Mkuu, wewe hayo matusi yanakuhusu? Kwani huyo Sugu kashindwa kufikisha ujumbe wake mpaka afikisha kwa njia ya matusi?Wewe kwa kuwa hayakuhusu ndo maana unaona ujinga. Kumbuka ni mara ngapi huwa unatukana unapo udhiwa?Si umeona baada ya kutukana kila mtu amelichukulia swala hili kwa uzito; angeandika lugha ya bungeni nani angechukulia serious?Sugu alitaka kufikisha ujumbe kwa jamii na kweli mmesikia na huu ndo mwanzo wa mapambano yake na hao aliowatukana.
unataka kujua umuhimu wa lugha aliyotumia??..amefanikiwa kupata attention kubwa ya watu wa rika mbalimbali ivyo mjadala aliouanzisha ambao ndio shabaha yake kubwa utakuwa na wigo mpana zaid na utachukua watu wengi zaidi kuujadili
Hahahah..kama mambo yenyewe ndio haya mmmh! Halafu utakuta mtu anajiita Great Thinker halafu ana Kadi ya chama cha kihuni kama cha huyu mheshimiwa!!!
anatufunza kuwa wazi kutoa hisia zetu yani tusiigize maisha tuache unafiki..Nilisema taarifa yake rasmi kwa vyombo vya habari ilikuwa na makosa ya kiuandishi kwa mtu mwenye wadhifa wa mbunge, lakini hii status yake kwenye facebook imetia fora. Hapa Sugu kama role model wa vijana anawafunza nini?
Mara ngapi wewe watu wanakuambia uache kutumia matusi huwa unashindwa kufikisha ujumbe kwa njia nyingine.Mkuu, wewe hayo matusi yanakuhusu? Kwani huyo Sugu kashindwa kufikisha ujumbe wake mpaka afikisha kwa njia ya matusi?
anatufunza kuwa wazi kutoa hisia zetu yani tusiigize maisha tuache unafiki..
Mimi ni mtu mzima najiheshimu ata siku moja siwezi kutumia matusi kufikisha ujumbe, lazima mmkubali Sugu kafanya kitu cha kihuniMara ngapi wewe watu wanakuambia uache kutumia matusi huwa unashindwa kufikisha ujumbe kwa njia nyingine.