Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ninawasikitikia wanaofurahia uonevu uliofanyika katika uchaguzi mkuu huuKwa uchaguzi upi uliokukurupua vichakani ? Hiki mlichokifanya ni hatari mno !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninawasikitikia wanaofurahia uonevu uliofanyika katika uchaguzi mkuu huuKwa uchaguzi upi uliokukurupua vichakani ? Hiki mlichokifanya ni hatari mno !
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ulijificha wapi?Kwa uchaguzi upi uliokukurupua vichakani ? Hiki mlichokifanya ni hatari mno !
Nendeni kwa mabeberu wenu mkafurahie na nyieNinawasikitikia wanaofurahia uonevu uliofanyika katika uchaguzi mkuu huu
Unamuaibisha huyo jamaa anae vaa jezi namba 8.Nendeni kwa mabeberu wenu mkafurahie na nyie
Msigwa ana nafasi ya kubaki sababu ya mpìnzani aliyepewa.
Waambie waje tujenge nchi NebyNendeni kwa mabeberu wenu mkafurahie na nyie
Kuna jamaa anajiita Loard ...Wahenga walisema ni bora kujenga tabia ya kuweka akiba ya maneno!
Hawataki kujenga hawa.....huoni walikua wanapingapinga kila kitu waende huko kwakina Amstadam wakawoleweWaambie waje tujenge nchi Neby
kwamba mpaka muda huu hujui kilichofanyika ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ulijificha wapi?
Nakumbuka zile thread zako za ccm yajizika Mbeya
kwamba mpaka muda huu hujui kilichofanyika ?
Hahahaha mvumilie tuNa Ana mkopo wa milioni 500 desderia hotel
Uonevu gani we kitoboNinawasikitikia wanaofurahia uonevu uliofanyika katika uchaguzi mkuu huu
yes bro.. kuna mtu ananiambia alkua kwnye semina dar ya ccm..u cant belive kwmba yalokua yanatokea kipnd cha kupiga kura yalikwsha pangwa.. mikakat ya mawakala wa vyama vingine vikubwa kucheleweshewa kupewa form ilkua moja ya mkakati na tukubali tukatae hv vyama vidogodogo vimenunuliwa na ccm watu walienda kama vivuli tu... kuna post moja nlisema mi sijisumbui nika been crushed... i saw this my vote wont change anythng nlikwsha jua manipulation itakuepo... ni vyema nifanye yanayo nihusu niingize ugal tuhI said it, leo yametokea!!
analyse bro usi m crush ..waulze walio kwny vitengo baada ya haya mambo kukaa sawa baadae huko... alaf njoo umuite kitobo tenaUonevu gani we kitobo
True, na ili kuleta mabadiliko ni lazima kubadili sheria inayoruhusu hayo kutokea. Otherwise they'll always be a legal ground to manipulate elections.yes bro.. kuna mtu ananiambia alkua kwnye semina dar ya ccm..u cant belive kwmba yalokua yanatokea kipnd cha kupiga kura yalikwsha pangwa.. mikakat ya mawakala wa vyama vingine vikubwa kucheleweshewa kupewa form ilkua moja ya mkakati na tukubali tukatae hv vyama vidogodogo vimenunuliwa na ccm watu walienda kama vivuli tu... kuna post moja nlisema mi sijisumbui nika been crushed... i saw this my vote wont change anythng nlikwsha jua manipulation itakuepo... ni vyema nifanye yanayo nihusu niingize ugal tuh