Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msigwa ana nafasi ya kubaki sababu ya mpìnzani aliyepewa.Heche
Lema na
Msigwa tunasubiri
Kwani Tulia kwa Sugu alikuwa na lolote? Lakini Tulia kapewa ushindiMsigwa ana nafasi ya kubaki sababu ya mpìnzani aliyepewa.
Sisi tunachojua wanambeya wamechinjaKwani Tulia kwa Sugu alikuwa na lolote? Lkn Tulia kapewa ushindi
Wewe wasema.Sisi tunachojua wanambeya wamechinja
Baadae Leo mchana, asiilalamikie Tume
Chadema wamepata AIBU ya Karne. tuliwaambia upinzani umekufa..
Unakuta mtu kama Mbowe au Lissu wanamsikiliza Kigogo.
Unapingana na angalizo la Sugu!Sugu sasa akamsugue Magufuli. Ila CCM wameleta kura fake. Niliposikia tu wanasema wataruhusu passport na Nida. Basi nikajua kuna kura zishapigwa. Ikute hata marehemu wamepiga kura. Walio nchi za nje wamepiga kura.
Sugu alijua bado tupo enzi ya JK.Unapingana na angalizo la Sugu!
Kwa maana nyingine unasema Sugu ni mjinga!Sugu alijua bado tupo enzi ya JK.
Kwamba enzi za Jk zilikua ni enzi za Ujinga? 😂Kwa maana nyingine unasema Sugu ni mjinga!
Ndiyo hakuona hilo linakuja. Hata hivyo simlaumu. Lipo nje ya uwezo wake.Kwa maana nyingine unasema Sugu ni mjinga!
Kwa uchaguzi upi uliokukurupua vichakani ? Hiki mlichokifanya ni hatari mno !Wahenga walisema ni bora kujenga tabia ya kuweka akiba ya maneno!
😂😂😂😂😂😃😃😃😃😂😃😃😃😃😂😁😁😁😃😂😃😂😂 mkuu pole sana, but jipange 2025 huenda bahati ikawa yenu wana magwanda,any way ccm wamejichanganya sana, why?? Niulize swali hili baada ya miaka miwili ijayoo!!Kwa uchaguzi upi uliokukurupua vichakani ? Hiki mlichokifanya ni hatari mno !