Mtu wa Asali
Senior Member
- May 9, 2022
- 152
- 292
Aangalie nini?Anajua ukibaka walioufanya na "maliyemu"!Mbunge wa sasa asipoanglia 2025 atarudi bungeni kama mbunge wa viti maalum
Tulia Trust sijui ni mikopo
Mbunge wa sasa asipoanglia 2025 atarudi bungeni kama mbunge wa viti maalum
Nimepita nsalaga hapa namuona Mr Two Maarufu kama Sugu akiwa na kundi kubwa la Vijana wakiwa wamezingira gari huku wakimuita Mbunge, Mbunge, Mbunge...
Bai bai kibiriti ngomaaa….Kwakua jiwe hayupo sugu mbunge mtalajiwa mbeya mjini vi maaluum cheichei
Tumewajulisha mapema ili mjipange kuloga mapemaNi mapema mno
Hiyo inajulikana kitamboMbeya nchi sugu nirais!! niswala la mudatu
Kwani katiba mpya na tume huru tayariTumewajulisha mapema ili mjipange kuloga mapema
Kuiita Mbeya Nchi, ni TREASON au Uhaini.Mbeya nchi sugu nirais!! niswala la mudatu