TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Post hii imeandikwa na sugu mwenyewe☺️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ajuza na sura yake mbaya kama roho yake lazima aingie MPNimepita Nsalaga hapa namuona Mr. Two Maarufu kama Sugu akiwa na kundi kubwa la Vijana wakiwa wamezingira gari huku wakimuita Mbunge, Mbunge, Mbunge.
Hata wale wenye bajaji zilizoandikwa Tulia Trust sijui ni mikopo ya Dkt. Tulia hii nao wapo hapo na Sugu wakimgongea tano.
Huyu bwana anapendwa sana Mbeya mjini inavyoonekana.
Yule anajua ukweli kuwa hata siyo mbunge alipachikwa na dikteta kulinda maslahi binafsi ya wakubwa bungeniMbunge wa sasa asipoanglia 2025 atarudi bungeni kama mbunge wa viti maalum
Chama chako kimelazimishwa kukutana kesho Dodoma kupokea maagizoKwani katiba mpya na tume huru tayari
Joined 20/10/2022 karibu sanaPost hii imeandikwa na sugu mwenyewe[emoji3526]
Ukweli mchungu kurudia ubunge mchezo kwa maajabu gani alofanya ndani ya vipindi viwili🤥Joined 20/10/2022 karibu sana
Vijana wamfikishia ujumbe Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a SUGU juu ya Hali ngumu sana ya maisha
soon tutatangaza uhur wetuKuiita Mbeya Nchi, ni TREASON au Uhaini.
Usirudie tena.😠😠😠, Mbeya ni Jimbo na jiji tu.
Nchi ni Tanzania. Ameeeen.
Kanda ya kipolisi itawahusu, waulize tarime utaambiwa.soon tutangaza uhur wetu
Leo Taita atakuwa mtaa gani….?Hiyo inajulikana kitambo